Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 7,446
- 14,250
Yaani MIE hapa nawaza kumpata broker wa mkweli asiye tapeli mkuu.unaweza piga mpunga afu usitoke.hapa najisomea vitabu na MIE nilikuwa MTU wa kukomaa.Hiyoni bonge ya trade kaka, watu hawaielewi tu.
Dow Jones imepanda sana leompakainanipashakakwamba nikinunua options, ama risks zangu zita outweigh returns ridiculously, ama nitapoteza hela kabisa kwa kununua high halafu ngomaishuke past my prediction.
Kwa hiyonikisemaleo nisi trade nisubiri wiki ijayo gomalitashuka KimJong Un akipiga bomu sehemu huko au kukitokea mlipuko waugaidi, au kukija hurricane, au Trump akijamba ushuzi mbaya watu wakakasirika, nitakuwa sawa.
Na goma litashuka tu, haliwezikupanda bilakushuka, it is against the laws of Physics and Economics.
Sasa mtu ukielewa hizi entry and exit points,ukatakakuzijua zaidi ili kuwa safe, ukimsikia mtu anayesema hii biashara ni hasara tupu utamsikiliza, kwa sababu hayupo totally wrong,ukiingiakichwa kichwa utapoteza helanyingi sana.
Lakini kama unafanya homework, unafanya risk management,unaangalia fundamentals,unaangalia pivot points, support points, resistance points etc, unakuwa una approach trades na informed decisions kiasi kwamba trade moja ikiharibu una nafasi tatu nyingine za kuibadilisha, na ukiona nyingi zinaharibu unachukua likizokidogo kutoka kwenye market maana inawezekana "shetani" wako siku hiyo hataki u trade.
Kwa hiyo ushauri huu wa kuogopa markets si mbaya, kwa sababu una ukweli mkubwa - a lot of these brokers are unregulated gambling dens- lakini, ukwelihuu si kila mahali, kuna risk minimization ways kibao.
Kwa ushauri pakua applications za international broadcasting muda wote uwe updated pia n kuwa follow viongozi wa dunia pale Twitter. Tukio lolote wana twitt. Akina Merkel,trump,wa jàpani,n.k