Naomba tuwasiliqne sir 0763583773Watu hawatiani hopes ambazo hazina uhakika, kwanza ni lazima uelewe kuwa kuna hatua muhimu za kufuata mpaka uje uone kuwa Forex ni biashara.
1. Soma vitabu kwa umakini sana na uelewe vya kutosha, kama ni tatizo kwako kusoma jitahidi muwe hata watu wanne mbadirishane uelewa.
2. Fungua Demo account na utrade angalau for 3 to 4 months
3. Njoo ujoin TMT kwa mafunzo maalum na Mentorship ambayo ni kama 6 months hapo unaweza kuwa on your own.
Nafikiri sasa utakuwa umeelewa kdg.
Sent using Jamii Forums mobile app