THE CHOICE
Member
- Jul 11, 2012
- 19
- 1
[h=6]BREAKING: Msanii CHEGE apata ajali mbaya ya gari usiku huu Temeke Dar es salaam, ameumia ila gari halifai kabisa.
Chanzo ni mtu wa pikipiki[/h]
Chanzo ni mtu wa pikipiki[/h]
Ni mchezaji wa Timu gani? Yanga Azzam au Simba?
MAJIMAJI ya mkoani kwako.Ni mchezaji wa Timu gani? Yanga Azzam au Simba?
Kwa faida yako na wengine, ''Chege Chigunda mtoto wa Mama Said'' mwanamuziki wa Kizazi kipya,anaimba bongo flava ktk kundi la TMK Wanaume. Of late ameungana na wanamuziki wenzie wanaotoka mkoa wa Kigoma na kufanya kazi pamoja chini ya kundi linalojiita Kigoma All Stars na kutoa kazi nzuri inayoitwa ''Lekadutigite''.
Kwa faida yako na wengine, ''Chege Chigunda mtoto wa Mama Said'' mwanamuziki wa Kizazi kipya,anaimba bongo flava ktk kundi la TMK Wanaume. Of late ameungana na wanamuziki wenzie wanaotoka mkoa wa Kigoma na kufanya kazi pamoja chini ya kundi linalojiita Kigoma All Stars na kutoa kazi nzuri inayoitwa ''Lekadutigite''.
Sasa kama amepata ajali mimi nifanye nini basi? Nilie?(hapana), nicheke? So what? Mwambie apungunze ndumba
umeandika kiupambe sana,who cares kama gari limeumia na yeye ni mzima?toa update ya binadamu kuhusu afya,gari si kitu,maisha yake kwanza.[h=6]BREAKING: Msanii CHEGE apata ajali mbaya ya gari usiku huu Temeke Dar es salaam, ameumia ila gari halifai kabisa.
Chanzo ni mtu wa pikipiki[/h]
Ni mchezaji wa Timu gani? Yanga Azzam au Simba?
Kwa faida yako na wengine, ''Chege Chigunda mtoto wa Mama Said'' mwanamuziki wa Kizazi kipya,anaimba bongo flava ktk kundi la TMK Wanaume. Of late ameungana na wanamuziki wenzie wanaotoka mkoa wa Kigoma na kufanya kazi pamoja chini ya kundi linalojiita Kigoma All Stars na kutoa kazi nzuri inayoitwa ''Lekadutigite''.