Sasa kama amepata ajali mimi nifanye nini basi? Nilie?(hapana), nicheke? So what? Mwambie apungunze ndumba
Wewe ni mpuuzi, hii thread iliyeianzisha aliipost kwenye jukwaa la sports na siyo celeb, isitoshe mimi siyo mpenzi wa hizo Bongo fleva unategemea huyo Chege mimi nitamjulia wapi? mleta thread angeweka maelezo yanayojitosheleza wala kusingekuwa na mtu wa kuuliza maswali.MAJIMAJI ya mkoani kwako.
hii hapari ina maswali mengi mkuu kwani hakuna ajali nzuri!BREAKING: Msanii CHEGE apata ajali mbaya ya gari usiku huu Temeke Dar es salaam, ameumia ila gari halifai kabisa.
Chanzo ni mtu wa pikipiki
I love Chegge's work,am a great fan of his. Where is he now? Temeke? Muh2? Any updates?
Kumbe Chege, nilidhani Andrew Chenge
we juha amabe humjui, kuna mtu asiemjua chege chigunda mtoto wa mama saidi tanzania hii, au wewe unakaa kijiji gani hata redio hakuna?Wewe ni mpuuzi, hii thread iliyeianzisha aliipost kwenye jukwaa la sports na siyo celeb, isitoshe mimi siyo mpenzi wa hizo Bongo fleva unategemea huyo Chege mimi nitamjulia wapi? mleta thread angeweka maelezo yanayojitosheleza wala kusingekuwa na mtu wa kuuliza maswali.
Hivi wewe kama hufuatilii siasa unaweza kumjuwa Mbunge wa Babati ni nani?
Jifunze kuandika kwanza then ndio ujinadi mbele ya Wanaume kwamba unajuwa kila kitu, wewe ndio wale wale saa saba usiku, hakuna ulijualo zaidi ya kukalili kama kasuku.we juha amabe humjui, kuna mtu asiemjua chege chigunda mtoto wa mama saidi tanzania hii, au wewe unakaa kijiji gani hata redio hakuna?
hata kama ni sports tumia akili, kwani ikipostiwa ishu ya siasa kwenye celebs we huwezi kutumia akili kupembua?
mbunge wa babati namfahamu sana yule mdosi Jitu au unaongelea nani?, hakuna nisichikijua katika anga za bongo.
am not here for spelling check and grammar, stupid wa head wewe.Jifunze kuandika kwanza then ndio ujinadi mbele ya Wanaume kwamba unajuwa kila kitu, wewe ndio wale wale saa saba usiku, hakuna ulijualo zaidi ya kukalili kama kasuku.
Wewe huna tofauti na wale Majuha wenzako wanaojifanya mpaka idadi ya mabasi anayomili Abood wanayafahamu na wanajuwa mwaka huu amenunuwa mabasi mangapi mapya, ushuzi mtupu.
Bogus kabisa, bila spelling kuna Lugha!? swain Fanculo.am not here for spelling check and grammar, stupid wa head wewe.
Bogus kabisa, bila spelling kuna Lugha!? swain Fanculo.
Ni mchezaji wa Timu gani? Yanga Azzam au Simba?