Breaking news!!!!!!!!!!

Nani Hamjui Fisadi Anthony Diallo? Ndio Mwenye Ndege Amemuiga Mramba Na Precious Airline Mwenzake Kaaza Siku Nyingi.
Watu Kama Mungai, Membe, Magufuri,mramba,diallo Watatusababishia Hali Ya Kenya Siku Za Baadae. Wamekula Kupita Kiasi.
 
Watu watachukia kusikia mtu fulani kaharibikiwa kwenye biashara zake za halali. lakini COMMNUNITY AIRLINE ni peza zetu za kodi na deals za ajabu ajabu zinazoikoseshea mapato.
 
Watu watachukia kusikia mtu fulani kaharibikiwa kwenye biashara zake za halali. lakini COMMNUNITY AIRLINE ni peza zetu za kodi na deals za ajabu ajabu zinazoikoseshea mapato.

mtalii:
Ukituthibitishia haya uliyoyasema hapa kuwa na kiasi fulani cha ukweli, mimi ntajiunga na mleta hoja kwa kusherehekea bila kujali huduma hizo walizokuwa wanazitoa kwa wananchi wa huko kanda ya ziwa.
Ni hivyo hivyo wala sitaweza kusikitika nikisikia kuwa Benki M imekata roho.
 
Watu watachukia kusikia mtu fulani kaharibikiwa kwenye biashara zake za halali. lakini COMMNUNITY AIRLINE ni peza zetu za kodi na deals za ajabu ajabu zinazoikoseshea mapato.

Mtalii, Antony Diallo si kati ya mafisadi mnaowasema; huyu n miongoni mwa wajasiriamali wa mwanzo kabisa waliofanikiwa hapa bongo na wakati huo hajaingia kwenye siasa.

Tunaposhangilia kuanguka kwa Community Airlines ni sawa na wanakijiji wanaofurahia pale tajiri pekee mwenye gari anapofilisika wakati usafiri wake ulikuwa ukiwasaidia wote.

Wenyeji wa kanda ya Ziwa wanakumbuka vizuri tulivyonyanyaswa muda mrefu na PrecicionAir kwa bei kubwa kupindukia wakati huduma za ATCL haziaminiki tena.

Tunawasubiri Community airlines warudi tena angani; changamoto waliyoitoa hadi Precision akashusha nauli ni ya kupigiwa mfano. Kumbuka Precision walishapanga kufuta safari za Bukoba kuanzia Februari mwaka huu lakini baada ya changamoto hii wakafuta mpango huo!
 
Naungana kabisa na mawazo ya Mtanzania na wengine ambao mnawatakia mafanikio wajasiri mali wa kiTZ.

Kuhusu alieleta habari hii ingawa ameiita "Breaking News" kwa mtazamo wake ningekuomba habari kama hii uifanyie utafiti kabla ya kuimwaga hadharani.

Bwana Mtalii nawe naona unatoa hitimisho la kuwa bwana Diallo ni mfisadi, lakini kauli hii naona sio imara kimantiki.

Unajua wakuu ni lazima tuelewe kwanza kwamba bwana Diallo ametumia "business model" gani kuendesha shughuli za kampuni hii ya ndege na ndege alizokuwa anazikodi zina uwezo gani wa kutumika kwa kipindi gani na gharama zipi.

Kama ametumia "low cost business model" ambapo anachaji nauli ndogo na nafuu ina maana amekuwa labda anashindana na kampuni zingine katika eneo hilo la bei.

Au pia amekuwa analipa kodi kubwa pamoja na gharama za uendeshaji kwa Tanzania ukizingatia mkataba alioingia na hao wagiriki.

Sasa hapa ndio mleta "thread" angekuja na mtirirko mzima wa habari hii badala ya kusema sijui ana meeting na CEO wa Community Air.

Lakini mtindo huu wa biashara wa "low cost" ndio upo nchi nyingi duniani na hata Mkuu Mtanzania na wengine wa UK mnaona jinsi Ryanair na Easyjet wanavoshindana kubeba abiria lakini kwa kutumia viwanja vidogo kama pale Luton na viwanja vingine vidogo.

Tatizo kubwa hapa ni vipi serikali inawasaidia wajasirimali wa kibongo na kuwapa kipaumbele kuendeleza biashara zao.

Pia inasahaulika sana kwamba kazi ya serikali ni ya baba mlezi wa watoto wake na mwongozaji kwa kila kitu iwe kutayarisha "infrustructure" au "communication" kwa ajili ya "enterprice" kuneemeka na kuimarika na kuleta tija na mambo mengine.

Lakini katika mfumo mzuri wa biashara ya angani, ambao ungekuwa umetayarishwa na mawaziri wa biashara na usafirishaji tokea Tanzania ipate Uhuru wake wa bendera, bado ATC ingekuwa inapeta na hata Community Air na Precition Air zingeendelea kupeta pia.

Naomba kutoa hoja!
 
Mtalii aka Nungwi aka Mswahili,

Acheni chuki binafsi. Mnataka kuendelea kutawaliwa kiuchumi na wageni wa kiasia mpaka lini?. Inatakiwa tufunge na kusali jamaa warudi hewani.

Hii ni pigo kubwa kwa mlala hoi wa kibongo.

Poleni sana mliopo Bongo na wa kanda ya ziwa, sala zangu zinawakumbuka na nyie.

Inshallah!
 
Mtalii na demcrasia wanaroho zakimaskini nakitumwa.. Wanataka kilakitu kiwecha wazungu sijui... Everyone knows Diallo alikua na pesa kabla hajawa Waziri wala Mbunge wala nini... ACHENI CHUKI.. NA UKOROSHO.. mtabaki na umaskini wenu kazi kupost majungu tu na ushabiki... . HE POST SIO SIO.. HAMNA CHAKUJADILIWA HAPA>>>
 
Jamani mimi naona kama sijaeleweka hapo, kilichotokea ni kuwa nilikuwa nawapa update kuwa community ndio hivyo tena
 
MY PRAYER IS...THE AIRLINE TO BE BACK IN INDUSTRY&SERVE MANY TANZANIANS WHO HAVE BEEN ELIMINATED TO USE AIR AS MEANS OF TRANSPORT((ikasababisha wengine watafute mbadala yaani UNGO.... ktk kutaka ku-enjoy AIR TRANSPORT)DUE TO THEIR LOW INCOMES)
 
Mh. Diallo alikuwa tajiri muda mrefu sana, alikuwa na exposure muda mrefu sana, ana uwezo mkubwa sana wa kufikiri kuliko vijana wengi humu ndani JF!!!

Kwa hiyo yeye ataendelea tu!!!

Sasa hapo mtakaposhangaa kuona kwamba tunashusha Boeing 787 toka KIA/JNIA to NY (USA) direct, ndio mtajua jamaa mwanamume!!!

Endeleeni tu na roho zenu za kimaskini!!! kila siku kujadili mambo yenye upeo wa kilomita 2.
 
Antony N.Dialo ni mmoja wa media owners ambao ninathubutu kuamini kuwa hayuko bias ktk taarifa za chombo anachokimiliki yeye,tofauti yake na Mengi ni kutovitumia hovyo vyombo vyake kuimarisha PR yake . Good man from kanda ya ziwa, amekuwa akiandamwa sana na watu wasiomtakia mema ktk siasa lakini response yake ni kwenye vote box,I remember Dr.Chegeni alivyokuwa popular ktk media during NEC na namna media zilivyomshughulikia Dialo!!!

Ameonyesha mfano wa kuwajali wa TZ bila kujigamba tumeiona ndege iko angani ikila vichwa kwa hekima tu, sasa matatizo yalojitokeza ni ya kawaida ktk biashara ni sawa na ile ya akina Mosha wa NICO -Tanzania one ,sijui iko wapi? Na wale waheshimiwa sana waliokuwa front page kujitangaza ktk mafanikio yale hawasemwi kabisa but Dialo ndio front page kama mshindwaji!!! Kisa ni uwaziri au? Nani anayeandika au kujaza form ya kugombea uwaziri hapa jamani,ni uteuzi ambao wewe mteuliwa huna haki ya kuhoji kuteuliwa kwako au kuondolewa kwako, talking of biashara hii ya usafiri wa anga , at least huyu mzee amethubutu tena kwa ujasiri ,yanini mateso haya toka vinywani mwetu?
 
Mimi namuomba Mh.Diallo afanye kila linalowezekana kampuni hiyo iendelee kufanya kazi tena kwa siku za hivi karibuni ili kumsaidia mtanzania ambae amekua akinyonywa kwa kuwekewa viwango vikubwa vya nauli.Kuanzia leo mimi nitawafanyia maombi ikiwezekana nitamshirikisha KKB ili Community Airline ianze kazi tena kwa kishindo.Precision na ATCL viwango vyao vya nauli ni kufa mtu.Watanzania tufunguke macho,Community airline ni mkombozi wa wanyonge.Dialo kaza uzi kampuni hiyo ifanye kazi.
 
Watanzania mimi mnanisikitisha mno pale mnapofurahia failure ya mtu. Sijui ni wivu, sijui ni ujinga, sijui ni ushamba au ni mchanganyiko wa vyote lakini binafsi nakuwa disturbed na ninaposoma watu wakifurahia failures za watu wengine.

Kufa kwa hilo shirika kunaweza kuwa pigo kwa Tanzania. Kwanza kuna watu wanapoteza kazi, kunaweza kuwa na matatizo ya usafiri na pia nchi inakosa tax ambayo ilikuwa inakusanya.

Hivyo hivyo watu walishangilia kufa kwa Scandinavia.

Lini mtaelemika na kujua kwamba biashara ni ku take risk? Kila palipo na risk kuna kufanikiwa au kufeli, kufeli kusiwe mwanzo wa kashfa bali mwanzo wa kujifunza ili kuongeza ufanisi.

Watu wanaocheka si ajabu hawawezi hata kuendesha duka. Diallo ni katika wajisiriamali wa Tanzania kuanzia miaka hiyo ya mabirika mpaka sasa, ni mtu ambaye vijana mnaweza kujifunza toka kwake badala ya kumbeza.

Ndio maana nchi inachukuliwa na wageni huku kazi zenu ni kucheka watanzania wanaojitahidi kushiriki kwenye biashara.

Acheni ushamba wenu na elemikeni, si mnaona hapa UK Nothern Rock inaanguka na kila mtu anasikitika? Serikali imemwaga bilions zote hizo ili kujaribu kuiokoa. Ingelikuwa sisi Wadanganyika, basi vicheko, ndelemo na ujinga mwingine.

Acheni wivu wenu wa kijinga.

Mkuu naomba ieleweke kwamba huu sio wivu at least kwangu mimi. Kufa kwa shirika kama Community airlines ni kitu cha kushangaza zaidi kwa sababu ya kasi waliyoingia nayo kwenye soko. Katika elimu yangu ndogo nilijifunza kitu kinaitwa business plan na katika hatua zake kuna wakati unafikia muwekezaji anatakiwa afanye RISK ANALYSIS ili aone ni zipi anaweza kuzieliminate, zipi ataziaccomodate na zipi ataziminimize yote kulingana na how much threat they pose. Sasa if Community Airlines hawakufanya homework vizuri then lazima downfall iwe kubwa!!!

Watu kushangilia inaweza ikawa imechangiwa na mambo mengi mkuu, hawa jamaa recently wamekuwa waki-mistreat abiria sana na bila hata kujali kama wale abiria pia wana issues na kazi za kufanya hii pia inaweza kupelekea mtu kuona ni bora hii kampuni ife!!

Pili kuna uwezekano mkubwa tu kwamba hizo ajira unazosema zikawa za kiundugu na kwa professionals wakijikuta wanakuwa chini ya mabosi ambao ni non-professional kwa kupitia undugu in most cases inaleta mambo kama haya.

Mkuu mimi sikubaliani na wewe sana katika haya na zaidi naomba sana watu wanaoanzisha biashara kubwa kama hizi wafanye homework cos sooner or later watajilaumu.

Leave it or take it mimi sijafurahi hii kampuni kufa cos ilikuwa ndo daladala letu la kuendea Mwanza!! Hope itafufuka na ujio mpya.... Diallo part II
 
Watu kushangilia inaweza ikawa imechangiwa na mambo mengi mkuu, hawa jamaa recently wamekuwa waki-mistreat abiria sana na bila hata kujali kama wale abiria pia wana issues na kazi za kufanya hii pia inaweza kupelekea mtu kuona ni bora hii kampuni ife!!

Pili kuna uwezekano mkubwa tu kwamba hizo ajira unazosema zikawa za kiundugu na kwa professionals wakijikuta wanakuwa chini ya mabosi ambao ni non-professional kwa kupitia undugu in most cases inaleta mambo kama haya.

tunaomba data juu
1. passenger mistreatment
2. non-professional staffs

Mtazamo wangu, sidhani kama tunawatendea haki hawa community air kwa sababu wameshatangaza kuwa watarejea lakini cha ajabu kuna watu wana sisitiza kuwa kampuni imekufa....na kwa jinsi hiyo basi tuwaache wajipange ili waturejesheee huduma yao nzuri ukilinganisha na huduma kongwe zinazosemwa.
 
Kuna wizi na wizi lakini ikiwa mama anamchomoa baba mlevi ili anunue unga nadhani hiyo ni safi. Kutoka Dar kuja Mwanza sharti upite Kenya na kama unavuka maji lazima tena uende Kampala ndipo ufike Tanzania! Kama mafisadi wote wangeweka miradi ya kupunguza adha kwa wananchi basi huo ufisadi ungekuwa legitimitized
 
Mkuu naomba ieleweke kwamba huu sio wivu at least kwangu mimi. Kufa kwa shirika kama Community airlines ni kitu cha kushangaza zaidi kwa sababu ya kasi waliyoingia nayo kwenye soko. Katika elimu yangu ndogo nilijifunza kitu kinaitwa business plan na katika hatua zake kuna wakati unafikia muwekezaji anatakiwa afanye RISK ANALYSIS ili aone ni zipi anaweza kuzieliminate, zipi ataziaccomodate na zipi ataziminimize yote kulingana na how much threat they pose. Sasa if Community Airlines hawakufanya homework vizuri then lazima downfall iwe kubwa!!!

Watu kushangilia inaweza ikawa imechangiwa na mambo mengi mkuu, hawa jamaa recently wamekuwa waki-mistreat abiria sana na bila hata kujali kama wale abiria pia wana issues na kazi za kufanya hii pia inaweza kupelekea mtu kuona ni bora hii kampuni ife!!

Pili kuna uwezekano mkubwa tu kwamba hizo ajira unazosema zikawa za kiundugu na kwa professionals wakijikuta wanakuwa chini ya mabosi ambao ni non-professional kwa kupitia undugu in most cases inaleta mambo kama haya.

Mkuu mimi sikubaliani na wewe sana katika haya na zaidi naomba sana watu wanaoanzisha biashara kubwa kama hizi wafanye homework cos sooner or later watajilaumu.

Leave it or take it mimi sijafurahi hii kampuni kufa cos ilikuwa ndo daladala letu la kuendea Mwanza!! Hope itafufuka na ujio mpya.... Diallo part II

Dmussa,

Unajuaje hawakufanya risk analysis? Nafikiri unaelewa nini maana ya risk, ni unpredictable. Hata Nothern Rock walifanya risk analysis kubwa tu na mambo yakawazidi.

Hata yule trader wa France alikuwa anatengeneza mabilions mpaka siku ile
mambo yalipokataa.

Kama kweli unaelewa maana ya risk na risk analysis kwenye biashara, ningetegemea usingeliweza kusema hawakufanya home work. Risk analysis haiondoi risk na badala yake inaipunguza tu. Kuna mambo mengi kwenye masuala ya risk huwezi kukumbana nayo mpaka yamekukuta.

Sasa hata mtu akiajiri ndugu, kwani hao si Watanzania? Mimi nikiajiri ndugu yangu, ina maana huyo ndugu hawezi kwenda kuomba kazi nyingine kwenye kampuni B, hivyo nafasi kwenye kampuni B inachukuliwa na mtanzania mwingine.

Hapa hatuna facts zote ila kwa mafanikio ya Diallo huko nyuma, naamini kabisa huko ni kuteleza tu na atasimama tena na kufanikisha biashara zake. Tunahitaji watu kama akina Diallo, Mengi na watanzania wengine na sio kuwaachia nchi wageni ambao mambo yakiwa mabaya, wanabeba mizigo yao na kuondoka.

Kama huduma zilikuwa mbovu, hilo ni suala lingine lakini kwenye cheap airlines zote huduma zake huwezi kulinganisha na ndege za masafa marefu. Inafika mahali kama customer inabidi uchague je unachotaka ni low price au good services. Nina uhakika kwa watanzania wengi wataona bora safari ili mradi a save laki mbili ambayo akifika Mwanza anaweza kujichana anavyotaka. Hivyo hivyo kwa mfanyabiashara, ni uamuzi wake, je strategy yake iwe customer intimacy au low price. Kwa biashara kama aliyokuwa anafanya Dialo, strategy yake ilikuwa ni low price, sio kila abiria anahitaji kuitwa sir, kuletewa wine, na chakula kwenye sahani posh. Walio wengi wanataka usafiri ulio salama wa kuwafikisha waendako kwa haraka iwezekanavyo na kwa bei ya chini iwezekanavyo.

Hivyo ndivyo hata cheap airlines za huku Ulaya zinavyofanya kazi zake. Ukiwa mnene unaweza kuambiwa ununue viti viwili. Kama unataka raha, nunua BA, kama uko kama Mtanzania hapa, ambaye muda wote ni kutafuta deals, niko radhi kubanana kwahayo masaa mawili.
 
Mimi nafurahi kuwa tunaongea kwa ku-balance suala hili.
Mimi naomba wale ambao ni insiders wanieleza suala 1 tu muhimu:
- Community airlines ilianzishwa kwa mtaji gani? Hii ni swali muhimu kwa sababu ni industry ambayo ni capital intensive na inahitaji mtaji mkubwa sana. Je ni pesa zake mwenyewe Diallo? Shareholders? Mkopo? kama mkopo kutoka kwa nani etc?
Ni muhimu kwani manunguniko kwamba ni ufisadi etc ni kutokana na kuwa Bongo tumeona watu wanaibuka na biashara zao na mtaji baadaye tunasikia ni ufisadi.
 
Mimi nafurahi kuwa tunaongea kwa ku-balance suala hili.
Mimi naomba wale ambao ni insiders wanieleza suala 1 tu muhimu:
- Community airlines ilianzishwa kwa mtaji gani? Hii ni swali muhimu kwa sababu ni industry ambayo ni capital intensive na inahitaji mtaji mkubwa sana. Je ni pesa zake mwenyewe Diallo? Shareholders? Mkopo? kama mkopo kutoka kwa nani etc?
Ni muhimu kwani manunguniko kwamba ni ufisadi etc ni kutokana na kuwa Bongo tumeona watu wanaibuka na biashara zao na mtaji baadaye tunasikia ni ufisadi.

Susuviri,

Unadhani nani ataweza kukupa majibu kama hayo? Hiyo ni internal information ya kampuni ambayo kikawaida huwezi kuipata.

Kwanini unaona kumiliki hizi cheap airlines kunahitaji mtaji mkubwa? Sijui kwa undani suala la Community airlines lakini kwa kifupi ni kwamba kama unakodisha hizo ndege gharama zake sio kubwa kama unavyofikiria. Kwa jumla naweza kusema hakuna fixed assets hapo na badala yake wewe unahangaika na operation cost tu. Ukipanga mambo yako vizuri unaweza ku run kampuni kama hiyo hata kwa kutumia overdraft kama ingelikuwa huku Ulaya, sijui kwa TZ.

Kuna mwanafunzi wa form four hapa alianzisha kampuni yake kama hiyo kwa pesa ndogo sana na sasa ni milionea.
 
Mimi nafurahi kuwa tunaongea kwa ku-balance suala hili.
Mimi naomba wale ambao ni insiders wanieleza suala 1 tu muhimu:
- Community airlines ilianzishwa kwa mtaji gani? Hii ni swali muhimu kwa sababu ni industry ambayo ni capital intensive na inahitaji mtaji mkubwa sana. Je ni pesa zake mwenyewe Diallo? Shareholders? Mkopo? kama mkopo kutoka kwa nani etc?
Ni muhimu kwani manunguniko kwamba ni ufisadi etc ni kutokana na kuwa Bongo tumeona watu wanaibuka na biashara zao na mtaji baadaye tunasikia ni ufisadi.

La muhimu sana ni hilo!!

Dmussa,

Unajuaje hawakufanya risk analysis? Nafikiri unaelewa nini maana ya risk, ni unpredictable. Hata Nothern Rock walifanya risk analysis kubwa tu na mambo yakawazidi.

Just prove me wrong mkuu... bring the facts basi...

Hapa hatuna facts zote ila kwa mafanikio ya Diallo huko nyuma, naamini kabisa huko ni kuteleza tu na atasimama tena na kufanikisha biashara zake. Tunahitaji watu kama akina Diallo, Mengi na watanzania wengine na sio kuwaachia nchi wageni ambao mambo yakiwa mabaya, wanabeba mizigo yao na kuondoka.

Hebu ongelea DM Investment, na kwa nini yale majiko ya sahara hayapo tz anymore!!

Susuviri,

Unadhani nani ataweza kukupa majibu kama hayo? Hiyo ni internal information ya kampuni ambayo kikawaida huwezi kuipata.

Kwanini unaona kumiliki hizi cheap airlines kunahitaji mtaji mkubwa? Sijui kwa undani suala la Community airlines lakini kwa kifupi ni kwamba kama unakodisha hizo ndege gharama zake sio kubwa kama unavyofikiria. Kwa jumla naweza kusema hakuna fixed assets hapo na badala yake wewe unahangaika na operation cost tu. Ukipanga mambo yako vizuri unaweza ku run kampuni kama hiyo hata kwa kutumia overdraft kama ingelikuwa huku Ulaya, sijui kwa TZ.

Kuna mwanafunzi wa form four hapa alianzisha kampuni yake kama hiyo kwa pesa ndogo sana na sasa ni milionea.

Hizi ni basic info zinazopatikana kwenye Company profile sasa kwa nini hawa jamaa hawana hii?? Kama wako katika ubia na wakurugenzi wengine it's worth knowing... na kama hii ni siri basi hii kampuni inafanya kazi ktk backgound!!!

Maskini daladala letu....
 
Watanzania mimi mnanisikitisha mno pale mnapofurahia failure ya mtu. Sijui ni wivu, sijui ni ujinga, sijui ni ushamba au ni mchanganyiko wa vyote lakini binafsi nakuwa disturbed na ninaposoma watu wakifurahia failures za watu wengine.

Kufa kwa hilo shirika kunaweza kuwa pigo kwa Tanzania. Kwanza kuna watu wanapoteza kazi, kunaweza kuwa na matatizo ya usafiri na pia nchi inakosa tax ambayo ilikuwa inakusanya.

Hivyo hivyo watu walishangilia kufa kwa Scandinavia.

Lini mtaelemika na kujua kwamba biashara ni ku take risk? Kila palipo na risk kuna kufanikiwa au kufeli, kufeli kusiwe mwanzo wa kashfa bali mwanzo wa kujifunza ili kuongeza ufanisi.

Watu wanaocheka si ajabu hawawezi hata kuendesha duka. Diallo ni katika wajisiriamali wa Tanzania kuanzia miaka hiyo ya mabirika mpaka sasa, ni mtu ambaye vijana mnaweza kujifunza toka kwake badala ya kumbeza.

Ndio maana nchi inachukuliwa na wageni huku kazi zenu ni kucheka watanzania wanaojitahidi kushiriki kwenye biashara.

Acheni ushamba wenu na elemikeni, si mnaona hapa UK Nothern Rock inaanguka na kila mtu anasikitika? Serikali imemwaga bilions zote hizo ili kujaribu kuiokoa. Ingelikuwa sisi Wadanganyika, basi vicheko, ndelemo na ujinga mwingine.

Acheni wivu wenu wa kijinga.

Sidhani kama kweli watu wanafurahia kuanguka kwa kampuni. They could be other things. Anyway, Kinachonishangaza mimi ni vile hawa jamaa wameweza kuingia deal na kampuni binafsi halafu wamejitoa bila tatizo lolote. The same guys wameshiriki kutuingiza kwenye mikataba bibovu ambayo tunashindwa kutoka na inaendelea kutughalimu. This one proves hawa jamaa njisi gani walivyo mafisadi na jinsi gani wanavyojali masilahi yao binafsi wakati wanalitumikia Taifa.
 
Back
Top Bottom