Imagine huyu dada huu ufisadi angeufanya nchi kama CHINA..
huyu dada mwizi hajashiriki mwenyewe kwenye huu mchezo. Tatizo bongo pepelezi zenyewe zinaishiaga hewani!..hii nchi itabaki kama ilivyo, watu tunaishi kwa mazoea hamna jipya kimaendeleo..wizi tu!