mi_mdau
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,104
- 1,476
Umeelewa kweli wewe??! Route ya KIA-MWANZA na MWANZA-KIA ndo kwanza inaanza ilikuwa route tatu lini?? Hii ni route mpya sio zile za Dar-kia na Dar-MwanzaHii inatia machungu, kwanini zimetoka route tatu kwa siku kwenda mwanza na KIA imekuwa moja? au ndio mpango wa kuimaliza kabisa na haya mashirika yaliyopo Bongo? Huu urasimu mtupu