kokudo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 2,546
- 1,662
- Thread starter
- #21
Kwa tetes zilizoko mjini kwa sasa ni kua 100% police wanahusika kwa mauaji inadaiwa baada ya kumpiga na kugundua jamaa kafa wakaamua kumrusha ili kupoteza ushahidi.Na Marehemu amesafirishwa leo kwenda MOROGORO.Huo ni uzembe mkubwa wa polisi, kwa nini wasimshikilie. Hii ndo polisi jamii.
Inawezekana walimuachia makusudi, na walijua amelewa. Ilibidi awe chini ya ulinzi mkali. Sasa ameacha familia. Inauma sana