Break Down a.k.a FISI

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,883
155,856
Magari haya kwa kweli ni mabovu.
Yote yanamilikiwa na askari Polisi,
hayana bima hai, Road licence zimeisha, hayana taa za nyuma za break, parki wala hendiketa.
Yakija kukukokota wanatoza ada kubwa sana na wanaharibu gari yako.
Watendaji wake ni wezi, wanakwapua vitu vinavyong'oka kirahisi kwenye gari.
Hawa jamaa hawafai na ni hatari sana.
break-down[1].jpg
 
Mimi nazani hawa si watu ila ni mafisi kama uvyosema. iko haja ya kung'oa fisi mmoja meno ukimkuta anaburuza mashine kama hiyo. Hapo kuna uweza kano wa kuuwa sterling lock na tairi za mbele kama unvyoona zinalazimishwa. Tairi moja ya hiyo cruiser na nne za huo mwarubainin unaovuta. Walishaigwa marufuku lakini.
 
FISI LIMEMEZA SHANGINGI.
attachment.php

Hakyamungu sijui wanaangalia sura hawa!!!! Siku nikikuta wanakokota gari yangu hvo wallah watakojoa dagaa! naanza na huyo mgambo aliyening'inia hapo nyuma......kabla sijaliwasha moto hilo mwarobaini! Kama nimevunja sheria niandikie "ticket" ntalipa faini, lakini gari yangu usiguse kabisaaa!:confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2:, :mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2:
 
Lakini bado wanadunda na ndio wakokotaji wakubwa wa jiji hili la Dar es Salaam.
Mimi nazani hawa si watu ila ni mafisi kama uvyosema. iko haja ya kung'oa fisi mmoja meno ukimkuta anaburuza mashine kama hiyo. Hapo kuna uweza kano wa kuuwa sterling lock na tairi za mbele kama unvyoona zinalazimishwa. Tairi moja ya hiyo cruiser na nne za huo mwarubainin unaovuta. Walishaigwa marufuku lakini.
 
Hakyamungu sijui wanaangalia sura hawa!!!! Siku nikikuta wanakokota gari yangu hvo wallah watakojoa dagaa! naanza na huyo mgambo aliyening'inia hapo nyuma......kabla sijaliwasha moto hilo mwarobaini! Kama nimevunja sheria niandikie "ticket" ntalipa faini, lakini gari yangu usiguse kabisaaa!:confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2::confused2:, :mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2:

Ila mimi nadhani huyu amepata breakdown gari inapelekwa garage kwa mtindo wa mbuzi kagoma kwenda!!
 
Unajua hawa jamaa huu ni mradi. Baada ya kuona hawapati magari mabovu wakabuni mbinu ya kuchukua magari yaliyo park vibaya. Wanachofanya ni kulivutia central kama upo city centre au kituo chochote cha polisi, ukifika huko wanakuandikia bill ya break down ulipie then wanakuja kwenye kosa napo fine.

Hizi ni loopholes zinazotumiwa na hawa manyang'au wa trafiki, hawaangalii usalama wa barabarani bali wanaangalia pesa. Haya ni matokeo ya serikali corrupt, kila mtua anatumia nafasi ya kufanya kitakachodfanyika ili mradi tu wawatoe chochote raia wema.
 
Unajua hawa jamaa huu ni mradi. Baada ya kuona hawapati magari mabovu wakabuni mbinu ya kuchukua magari yaliyo park vibaya. Wanachofanya ni kulivutia central kama upo city centre au kituo chochote cha polisi, ukifika huko wanakuandikia bill ya break down ulipie then wanakuja kwenye kosa napo fine.

Hizi ni loopholes zinazotumiwa na hawa manyang'au wa trafiki, hawaangalii usalama wa barabarani bali wanaangalia pesa. Haya ni matokeo ya serikali corrupt, kila mtua anatumia nafasi ya kufanya kitakachodfanyika ili mradi tu wawatoe chochote raia wema.

Laana kali ziwafikie matrafiki wote wadhulumaji wa haki popote pale walipo.
 
Unajua hawa jamaa huu ni mradi. Baada ya kuona hawapati magari mabovu wakabuni mbinu ya kuchukua magari yaliyo park vibaya. Wanachofanya ni kulivutia central kama upo city centre au kituo chochote cha polisi, ukifika huko wanakuandikia bill ya break down ulipie then wanakuja kwenye kosa napo fine.

Mkuu, hata usipopaki vibaya wanakokota tu. Kwa kweli wana laana.
 
ngoja niwachekeshe juzi juzi gari yangu ilipita ajali inatembea ikafika magomeni;;******* mmoja akasema kesi imeandikwa illala nikamwambia poa niende akasema hapana mpaka kesho nimefika asbh akadai nasubiri hizo takataka kuja kubeba gari yangu nkamwambia wat??kwa kuwa aitembei ama akasema ni sheria uwezi kuendesha..nikamfwata bosi wake nika,weleza akasema niitie akaenda akamwambia araka sana nenda na huyo kijana na tena baada ya kumpigia ma uncle central akasema kituo gani akaongea na jamaa...ni pumbafu watupu kuanzia bosi wao mpaka mwisho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom