TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,919
- 11,320
Mwanaume rijali unakaa umening'iniza nanihii zako,unahubiri eti brazil nje. Acheni brazil iitwe brazil
afadhali ulijitambua wewe sio rijali
Mwanaume rijali unakaa umening'iniza nanihii zako,unahubiri eti brazil nje. Acheni brazil iitwe brazil
Ni shida.kesho kitaa sijui!Kama unashabikia brazil ......habari ndio hiyo.
Kuhusu nini kiongozi. kuna kusema tena hapo?
Watulie wachezaji wa Brazil wasijali machozi, kilio, mayowe, miguno, ukimya na kuzomewa na mashabiki wao wacheze mpira maana wanaweza kufanya maajabu wakarudisha na kushinda mchezo ktk extra time na penati.
Maana naona wa-Brazil walikamia sana dakika za mwanzo na kutoa mwanya kwa Germany kutumia makosa ya Brazil kufunga mabao 5 katika kipindi cha mwanzo za mchezo.
...afu mtangazaji kakomaa kinoma, mara its unbilivabo,ooh the germanz are liding,si akauke tu,kwani hatuoni...!?
...mods futeni huu uzi bhana...