Manyema
JF-Expert Member
- Sep 2, 2010
- 645
- 1,638
Wakuu nimepita maeneo ya ubungo external hapa kuna sheli ya BP nimeshangaa nikiona wanauza mafuta kwny magari kama kawaida..nikajiuliza kuwa ile adhabu yao ya kutouza mafuta kwa miezi mitatu imeshaisha au imekuwa vp, some how confused.! Naomba kuwasilisha..