nnunu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2011
- 654
- 230
Mmmh!!! Haya wenye bahati ya kufanyiwa hayo yote HONGERA ZENU.....
Ila kuna kitu sijaelewa vizur anayefanya yote haya ni yule iliyefikia cheo cha kuitwa BABA FULANI ?? AU...... ni yale ya yule anayesema jifiche mpenzi wangu jirani yule pale anakuja upande huu tuliosimama/kaa, akikuona anaenda kukusemelea kwa wazazi wako,,jifiche jifiche.....lol
UNAJUA UMRI UNAPOENDA SANA HATA AKILI INAKUWA NZITO SANA KUELEWA MAMBO.
Ila kuna kitu sijaelewa vizur anayefanya yote haya ni yule iliyefikia cheo cha kuitwa BABA FULANI ?? AU...... ni yale ya yule anayesema jifiche mpenzi wangu jirani yule pale anakuja upande huu tuliosimama/kaa, akikuona anaenda kukusemelea kwa wazazi wako,,jifiche jifiche.....lol
UNAJUA UMRI UNAPOENDA SANA HATA AKILI INAKUWA NZITO SANA KUELEWA MAMBO.