Una bahati nimeshawowa, ningekuwa wa kwanza kuunga foleni maana najua watakuja wengi wakitaka kutest........... LOL
Najiamini sana na najiheshimu na kumheshimu sana. Lakini nasikitika jana kaniambia ameniwekea tego. Je ni halali kumwekea gal friend wako vitu vya ushirikina kama hivyo? Je nifanye test kuona kama anayosema ni kweli au ananitishia? Mwana JF aliye tayari kufanya test na mimi ani-pm tafadhali ( at his own risk).
Najiamini sana na najiheshimu na kumheshimu sana. Lakini nasikitika jana kaniambia ameniwekea tego. Je ni halali kumwekea gal friend wako vitu vya ushirikina kama hivyo? Je nifanye test kuona kama anayosema ni kweli au ananitishia? Mwana JF aliye tayari kufanya test na mimi ani-pm tafadhali ( at his own risk).
Najiamini sana na najiheshimu na kumheshimu sana. Lakini nasikitika jana kaniambia ameniwekea tego. Je ni halali kumwekea gal friend wako vitu vya ushirikina kama hivyo? Je nifanye test kuona kama anayosema ni kweli au ananitishia? Mwana JF aliye tayari kufanya test na mimi ani-pm tafadhali ( at his own risk).
Nimekuacha, lakini nasikitika mpaka sasa sijapata pm toka kwa kidume chochote!!
Chezea kunasa weye!!! Njemba zinajipenda banaaa!!!!...nani anataka kuwa gumzo la nchi!!!! Amenasana na GF wa mtu wako Muhimbili kutafuta wa kuwanasua...labda ukubali njemba ianze kutest kwanza kuona kama test inajipa kama haijipi basi imekula kwako... Kichwa cha habari, "Nanihii yanasa nyetini mdada alikuwa anajaribisha kama anaweza kunasana na mtu au la kabla ya kujirusha nyumba ndogo kwa raha zake." lol!
kumbe tego ni kwa kila mlango na dirisha eeh? Inabidi nitafute tego la kissing aisee.Hahaha...mlango haupo mmoja lakini
Best bwana, sasa huyo wa majaribio kabla ya small house tunamuitaje? Placebo ama guinea pig? Na arrangement inakuwaje ili asiwe naye ni small house?
bora hata usiseme nibakie na imaginations zangu, lol! How do i hate my imaginary world, blame it on all cartoons!Siyo mtu best lol! Naogopa kuchema
bora hata usiseme nibakie na imaginations zangu, lol! How do i hate my imaginary world, blame it on all cartoons!
Najiamini sana na najiheshimu na kumheshimu sana. Lakini nasikitika jana kaniambia ameniwekea tego. Je ni halali kumwekea gal friend wako vitu vya ushirikina kama hivyo? Je nifanye test kuona kama anayosema ni kweli au ananitishia? Mwana JF aliye tayari kufanya test na mimi ani-pm tafadhali ( at his own risk).