Botswana:Wageni waanza kufungasha virago

Wakuu
hali imebadilika na sasa hapa Botswana wageni hasa wafanya biashara wenye makampuni na wafanya kazi wanaofanya serikalini na makampuni binafsi wameanza kufungasha virago baada ya mambo kubadilika ghafla,serikali ya hapa imeleta sera mpya inayobana wageni kiasi kwamba ukiwa mgini huwezi kabisa kufanya biashara,hilo limewafanya wengi washindwe kuishi hapa baada ya kuonekana serikali inaleta standard ya Europe,
baada ya kuwanyima wageni wengi permit za kuishi na kufanya kazi sasa wameanza kulazimisha makampuni ya wageni kutopewa kazi na tunakoelekea sasa hivi ni kufungasha
tulifikiri wamelenga wakenya peke yao kwani kila mkenya aliyeomba permit alitolewa nje,sasa wamegeuza kibao na kuandama wageni wote ijapokuwa kwa watanzania wanalegeza kamba kidogo
ndugu zangu tunarudi nyumbani tujenge taifa letu,hayo maneno nimewaambia waswana na kuwahakikishia kuwa watakuja juta kwani hawa watu bado ni immature
tunarejea nyumbani tukiamini mtatupokea baada ya kuishi nje ya nchi yetu kwa miaka ming,mimi binafsi nimeishi botswana miaka 12 sasa
tunaamini siasa za tanzania hazitatuvunja moyo kwani tunakuja ku share skill na life education kwa ujumla tuliyoipata huko nje
tunaamini serikali itagundua uwezo mkubwa tulio nao na kututumia tuweze kuendeleza nchi yetu

Jamani wakenya siku hizi wako kama wahindi vile yaani kila nchi wamejazana...hapa tz wamejazana wengi wametuchukulia kazi zetu sisi wabongo, uganda nao wapo botswana SA, hivi kenya hakuna kazi au tatizo liko kwanini hawakai nchini mwao?
 
Karibu home...wale washikaji zangu sijui inakuwaje...let me find them
 
karibuni mkaribie sana, msiogope siasa kwani tunakaribia mwisho wa serikali kuendekeza siasa
 
Njooni bhana, mje mjionee yanayojili hapa bongo, ila usitegemee eti serikali itajua umerudi na inahitaji mchango wako, walaa. Bongo ilishauzwa siku nyingi siku hizi kila mtu ana chacharika kivyake, siku ya kufa ikifika unaishia zako
 
Nyie mje tu, ila nyie ndio mjitune kuendana na mambo yetu msituletee mambo ya kutaka kuiga mambo ya Botswana. Narudia tena, rudini nyumbani lakini mjue huku sio Botswana.
 
NIMESIKIA MADAKTARI WALE WALIOGOMA NA WENGINE KUFUKUZWA KUWA WANAKUJA HUKO, WANALIPA VIZURI SANA NA MAISHA NI SIMPLE, WASUBIRINI BANA MUWAONESHE MITAA KIDOGO. UKIONA KWAKO KWAFUKA MOSHI, UJUE KWA MWENZIO KWAUNGUA! wellcome back, nauza viwanja huku chaline,bagamoyo,morogoro! mkifika mtujuze
 
usije home ukitegemea serikali hii inatambua hata chembe ya mchango wako kwa taifa hili...

njoo na ujanjaujanja maana hii nchi wajanjawajanja ndio wanaoila na kuifaidi kwa rahaaa na sio nyie mnaojiita wasomi..maana sikuhizi mmekuwa wengi hadi mnashindanishwa na watoto wa madrasa..wasomi wa qoran...

Kwani wewe mwenzetu ni msomi wa nini???...mengine mliyosomea huku hata hatuyahitaji..usijekuwa msomi wa nuclear physics ukija hapa huna chako na madini tushauza so 4get ur nuclear power reactors n blahblah... Utaishia kunywa whisky, wines mara unafulia kisha unaanza bia konyagi na viroba..kisha unaamia banana nzela na mwishoni gongo na chibuku kisha tunakuzika..
Pole
sana msomi unayetaka kurudi nyumbani ambako hakuna hada dalili ya kuthaminiwa.

Jithamini usisubiri kuthaminiwa.
 
Jamani wakenya siku hizi wako kama wahindi vile yaani kila nchi wamejazana...hapa tz wamejazana wengi wametuchukulia kazi zetu sisi wabongo, uganda nao wapo botswana SA, hivi kenya hakuna kazi au tatizo liko kwanini hawakai nchini mwao?

hawa jamaa kwanza kupata shughuli kwenye ofisi zao ni ishu mfano KCB! alafu ni wanaubinafsi mno, kule kwao wageni wakifanya uwekezaji wao hawaendi kuwasupport wala nini, kama wabongo wengi wamefunga sana supermarkets zao na hata kuna bank moja ya hapa tz ilifungua tawi kule, ikabidi walifunge wenyewe. lakini sisi huku wamewekeza mabank, supermarkets na hotels na tunawasupport vya kutosha, ila wao warasimu mno. nchi yao karibia inakuwa maskani ya kina bokoharam,janjawid,alshabab,nk.
 
Wakuu
hali imebadilika na sasa hapa Botswana wageni hasa wafanya biashara wenye makampuni na wafanya kazi wanaofanya serikalini na makampuni binafsi wameanza kufungasha virago baada ya mambo kubadilika ghafla,serikali ya hapa imeleta sera mpya inayobana wageni kiasi kwamba ukiwa mgini huwezi kabisa kufanya biashara,hilo limewafanya wengi washindwe kuishi hapa baada ya kuonekana serikali inaleta standard ya Europe,
baada ya kuwanyima wageni wengi permit za kuishi na kufanya kazi sasa wameanza kulazimisha makampuni ya wageni kutopewa kazi na tunakoelekea sasa hivi ni kufungasha
tulifikiri wamelenga wakenya peke yao kwani kila mkenya aliyeomba permit alitolewa nje,sasa wamegeuza kibao na kuandama wageni wote ijapokuwa kwa watanzania wanalegeza kamba kidogo
ndugu zangu tunarudi nyumbani tujenge taifa letu,hayo maneno nimewaambia waswana na kuwahakikishia kuwa watakuja juta kwani hawa watu bado ni immature
tunarejea nyumbani tukiamini mtatupokea baada ya kuishi nje ya nchi yetu kwa miaka ming,mimi binafsi nimeishi botswana miaka 12 sasa
tunaamini siasa za tanzania hazitatuvunja moyo kwani tunakuja ku share skill na life education kwa ujumla tuliyoipata huko nje
tunaamini serikali itagundua uwezo mkubwa tulio nao na kututumia tuweze kuendeleza nchi yetu

Karibuni,ila msimalize hela ya kuhonga kidogo wakati mna set mambo yenu huku Bongo

 
Surely hao jamaa waatajuta kuwafanyia wageni fitina. kwa ufahamu wangu, ninajua ni wageni waliowafikisha hapo walipo! University of Botswana kwa kipindi fulani karibia kila Head of Department alikua mgeni, specifically Mtanzania. Najua mpaka sasa hawajajipanga vizuri sana katika sekta mbalimbali kujiongoza, na wageni wakiondoka watawakumbuka!

kuna maelfu ya watswana wamegraduate nje mwaka jana na mwaka huu, wanazurula tu mitaani euro na asia na hata govt yao hawajui watawaajiri vipi wote. Hayo mawazo ya "watatukumbuka" epukana nayo. Govt yao iliwekeza kwenye elimu na hayo ndiyo matunda sasa..
NB: Hawa madogo wamesoma ktk vyuo bora duniani sasa wewe ukienda kujitutumua na vyeti vyako vya tz usije kusingizia wanakubagua. Nina uhakika na niliyoyaandika
 
Wakuu
hali imebadilika na sasa hapa Botswana wageni hasa wafanya biashara wenye makampuni na wafanya kazi wanaofanya serikalini na makampuni binafsi wameanza kufungasha virago baada ya mambo kubadilika ghafla,serikali ya hapa imeleta sera mpya inayobana wageni kiasi kwamba ukiwa mgini huwezi kabisa kufanya biashara,hilo limewafanya wengi washindwe kuishi hapa baada ya kuonekana serikali inaleta standard ya Europe,
baada ya kuwanyima wageni wengi permit za kuishi na kufanya kazi sasa wameanza kulazimisha makampuni ya wageni kutopewa kazi na tunakoelekea sasa hivi ni kufungasha
tulifikiri wamelenga wakenya peke yao kwani kila mkenya aliyeomba permit alitolewa nje,sasa wamegeuza kibao na kuandama wageni wote ijapokuwa kwa watanzania wanalegeza kamba kidogo
ndugu zangu tunarudi nyumbani tujenge taifa letu,hayo maneno nimewaambia waswana na kuwahakikishia kuwa watakuja juta kwani hawa watu bado ni immature
tunarejea nyumbani tukiamini mtatupokea baada ya kuishi nje ya nchi yetu kwa miaka ming,mimi binafsi nimeishi botswana miaka 12 sasa
tunaamini siasa za tanzania hazitatuvunja moyo kwani tunakuja ku share skill na life education kwa ujumla tuliyoipata huko nje
tunaamini serikali itagundua uwezo mkubwa tulio nao na kututumia tuweze kuendeleza nchi yetu

Mkuu,

Heshima yako.

Miaka 12 ulioisi Botswana si haba na kama ulijijenga kimaisha basi hutaweza kusumbuliwa na vijisenti vya kuhangaika kutafuta cha kufanya ukiwa Tanzania.

Rudi tu na uanzishe mpango wowote ule iwe biashara au mradi kwani utakuwa na mtaji wa kutosha.

Mtaji siku hizi sio pesa tu bali pia "intellectual property" ambapo inaweza kukuingiza benki na ukaongezea mtaji.
 
Back
Top Bottom