sabasita
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 1,501
- 392
hatujaua kwetu mkuu,no place like home,japokuwa siasa za nyumbani zinakatisha tamaa lakini hakuna jinsi
pole huku hali ni hovyo sana ila karibu home
hatujaua kwetu mkuu,no place like home,japokuwa siasa za nyumbani zinakatisha tamaa lakini hakuna jinsi
Wakuu
hali imebadilika na sasa hapa Botswana wageni hasa wafanya biashara wenye makampuni na wafanya kazi wanaofanya serikalini na makampuni binafsi wameanza kufungasha virago baada ya mambo kubadilika ghafla,serikali ya hapa imeleta sera mpya inayobana wageni kiasi kwamba ukiwa mgini huwezi kabisa kufanya biashara,hilo limewafanya wengi washindwe kuishi hapa baada ya kuonekana serikali inaleta standard ya Europe,
baada ya kuwanyima wageni wengi permit za kuishi na kufanya kazi sasa wameanza kulazimisha makampuni ya wageni kutopewa kazi na tunakoelekea sasa hivi ni kufungasha
tulifikiri wamelenga wakenya peke yao kwani kila mkenya aliyeomba permit alitolewa nje,sasa wamegeuza kibao na kuandama wageni wote ijapokuwa kwa watanzania wanalegeza kamba kidogo
ndugu zangu tunarudi nyumbani tujenge taifa letu,hayo maneno nimewaambia waswana na kuwahakikishia kuwa watakuja juta kwani hawa watu bado ni immature
tunarejea nyumbani tukiamini mtatupokea baada ya kuishi nje ya nchi yetu kwa miaka ming,mimi binafsi nimeishi botswana miaka 12 sasa
tunaamini siasa za tanzania hazitatuvunja moyo kwani tunakuja ku share skill na life education kwa ujumla tuliyoipata huko nje
tunaamini serikali itagundua uwezo mkubwa tulio nao na kututumia tuweze kuendeleza nchi yetu
usije home ukitegemea serikali hii inatambua hata chembe ya mchango wako kwa taifa hili...
njoo na ujanjaujanja maana hii nchi wajanjawajanja ndio wanaoila na kuifaidi kwa rahaaa na sio nyie mnaojiita wasomi..maana sikuhizi mmekuwa wengi hadi mnashindanishwa na watoto wa madrasa..wasomi wa qoran...
Kwani wewe mwenzetu ni msomi wa nini???...mengine mliyosomea huku hata hatuyahitaji..usijekuwa msomi wa nuclear physics ukija hapa huna chako na madini tushauza so 4get ur nuclear power reactors n blahblah... Utaishia kunywa whisky, wines mara unafulia kisha unaanza bia konyagi na viroba..kisha unaamia banana nzela na mwishoni gongo na chibuku kisha tunakuzika..
Pole
sana msomi unayetaka kurudi nyumbani ambako hakuna hada dalili ya kuthaminiwa.
Jamani wakenya siku hizi wako kama wahindi vile yaani kila nchi wamejazana...hapa tz wamejazana wengi wametuchukulia kazi zetu sisi wabongo, uganda nao wapo botswana SA, hivi kenya hakuna kazi au tatizo liko kwanini hawakai nchini mwao?
Wakuu
hali imebadilika na sasa hapa Botswana wageni hasa wafanya biashara wenye makampuni na wafanya kazi wanaofanya serikalini na makampuni binafsi wameanza kufungasha virago baada ya mambo kubadilika ghafla,serikali ya hapa imeleta sera mpya inayobana wageni kiasi kwamba ukiwa mgini huwezi kabisa kufanya biashara,hilo limewafanya wengi washindwe kuishi hapa baada ya kuonekana serikali inaleta standard ya Europe,
baada ya kuwanyima wageni wengi permit za kuishi na kufanya kazi sasa wameanza kulazimisha makampuni ya wageni kutopewa kazi na tunakoelekea sasa hivi ni kufungasha
tulifikiri wamelenga wakenya peke yao kwani kila mkenya aliyeomba permit alitolewa nje,sasa wamegeuza kibao na kuandama wageni wote ijapokuwa kwa watanzania wanalegeza kamba kidogo
ndugu zangu tunarudi nyumbani tujenge taifa letu,hayo maneno nimewaambia waswana na kuwahakikishia kuwa watakuja juta kwani hawa watu bado ni immature
tunarejea nyumbani tukiamini mtatupokea baada ya kuishi nje ya nchi yetu kwa miaka ming,mimi binafsi nimeishi botswana miaka 12 sasa
tunaamini siasa za tanzania hazitatuvunja moyo kwani tunakuja ku share skill na life education kwa ujumla tuliyoipata huko nje
tunaamini serikali itagundua uwezo mkubwa tulio nao na kututumia tuweze kuendeleza nchi yetu
Surely hao jamaa waatajuta kuwafanyia wageni fitina. kwa ufahamu wangu, ninajua ni wageni waliowafikisha hapo walipo! University of Botswana kwa kipindi fulani karibia kila Head of Department alikua mgeni, specifically Mtanzania. Najua mpaka sasa hawajajipanga vizuri sana katika sekta mbalimbali kujiongoza, na wageni wakiondoka watawakumbuka!
Wakuu
hali imebadilika na sasa hapa Botswana wageni hasa wafanya biashara wenye makampuni na wafanya kazi wanaofanya serikalini na makampuni binafsi wameanza kufungasha virago baada ya mambo kubadilika ghafla,serikali ya hapa imeleta sera mpya inayobana wageni kiasi kwamba ukiwa mgini huwezi kabisa kufanya biashara,hilo limewafanya wengi washindwe kuishi hapa baada ya kuonekana serikali inaleta standard ya Europe,
baada ya kuwanyima wageni wengi permit za kuishi na kufanya kazi sasa wameanza kulazimisha makampuni ya wageni kutopewa kazi na tunakoelekea sasa hivi ni kufungasha
tulifikiri wamelenga wakenya peke yao kwani kila mkenya aliyeomba permit alitolewa nje,sasa wamegeuza kibao na kuandama wageni wote ijapokuwa kwa watanzania wanalegeza kamba kidogo
ndugu zangu tunarudi nyumbani tujenge taifa letu,hayo maneno nimewaambia waswana na kuwahakikishia kuwa watakuja juta kwani hawa watu bado ni immature
tunarejea nyumbani tukiamini mtatupokea baada ya kuishi nje ya nchi yetu kwa miaka ming,mimi binafsi nimeishi botswana miaka 12 sasa
tunaamini siasa za tanzania hazitatuvunja moyo kwani tunakuja ku share skill na life education kwa ujumla tuliyoipata huko nje
tunaamini serikali itagundua uwezo mkubwa tulio nao na kututumia tuweze kuendeleza nchi yetu