Amanikwenu
Senior Member
- Dec 1, 2009
- 187
- 0
Ni muhimu sana wafanyakazi wote wa serikali wakapatiwa fursa ya kupata mikopo kama hao wafanyakazi wa Benki Kuu. haingii akilini kuwa na sera tofauti kwa wafanyakazi wa serikali.
hapa nimejaribu kuangalia ni jinsi gani baadhi ya watu humu wana upeo mdogo kifikra.
hivi ni makampuni mangapi yanakopesha wafanyakazi wake?
na huwakopesha kiasi gani?
hurudisha mkopo kwa muda gani?
je tumelinganisha na nani?, CRDB, NBC, NSSF, PPF, STANBIC, BARCLAYS, STANCHART, AKIBA ZAIN, VODACOM, TIGO LAPF. je haya hayawakopeshi wafanyakazi wake??
hawa wafanyakazi wa BOT hawana right ya kukopeshwa na mwajili wao?
KAMA SEKULA YAO ILIVYOONYESHA KUWA HII NI NYONGEZA AMBAYO WAFANYAKAZI WAMEIOMBA KWA MUDA MREFU. JAMANI MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI.
HIVI WHAT IS 30M KWA UJENZI WA NYUMBA??
AMA HAWA WACHANGIAJI HAWAJAWAHI KUJENGA NA KUONA GHARAMA ZA UJENZI??
HEBU TUUULIZIEN MAKAMPUNI MENGINE HUKOPESHA WAKURUGENZI WAKE KIASI GANI?? HAPO WE CAN ARGUE WITH EVIDENCE.
SIO KWA KUWA KULIKUWA NA SCANDAL YA EPA NA TWIN TOWERS BASI MAANA YAKE WAFANYAKAZI WALIO WENGI WASIPEWE HATA HAKI ZAO ZA MSINGI.
Ninadhani mikopo kama hii ni muhimu kwani inapunguza umaskini. Kwa mfano, wafanyakazi wa BoT watakapokuwa wanajenga majumba kwa kutumia pesa waliyokopeshwa, ni dhahiri kuwa ndugu zetu mafundi uashi n.k. watanufaika kwa kupata kazi. Additionally, wafanyabiashara wa vifaa vya ujenzi watapata biashara na kulipa kodi. At the end of the day, huo mkopo unakuwa na impact kuliko kulalia hizo hela hapo BoT. This is why nchi kama Marekani wanahaha kuhakikisha walaji wana pesa ya kutumia. Obama anahangaika kushawishi mabenki yakopeshe for the same reasons. So, sioni ubaya wa utaratibu kama huu wa kukopesha watumishi. Cha msingi ni kuweka utaratibu wa watu wengi zaidi kuweza kukopa. After all wasipokopeshwa watumishi, wajanja watakuja na maarifa tofauti (e.g. EPA) na pesa zitaishia kwenye mabenki ya Jersey, Uswisi e.t.c.
tatizo ni nini hapa ? au kwa vile ni BOT...? its all about staff wellfare,..ni moja ya faida kufanya kazi kwenye taasisi kama hiyo...wewe ulie leta hii mada ni kwa vile upo nje ya taasisi ungekua ndani i gues ungekua wa kwanza kuja fomu za maombi ya mikopo hiyo...
tatizo ni nini hapa ? au kwa vile ni BOT...? its all about staff wellfare,..ni moja ya faida kufanya kazi kwenye taasisi kama hiyo...wewe ulie leta hii mada ni kwa vile upo nje ya taasisi ungekua ndani i gues ungekua wa kwanza kuja fomu za maombi ya mikopo hiyo...
Benki Kuu ya nchi inaanza kutoa mikopo ya ujenzi? mweh!!
Hakuna mtu anaye pinga kiongozi wa sehemu ya kazi kuwapa motisha au maslahi bora wafanya kazi wake.Tatizo letu wengi bado tuna hangover ya siasa za ujamaa na kujitegemea. Eti binadamu wote ni sawa! Kivipi?
Jamani, ingawa ukweli ni kwamba inauma..kwamba Tanzania umaskini umekithiri lakini hebu tuangalie upande mwingine wa shillingi. Hawa jamaa hawapewi hizo hela bure. Wanakopeshwa. Na watarudisha. Hivi inatofauti gani na mtu anayenunua nyumba kwa mortgage huko ulaya au kwingineko na akatakiwa kulipa kwa kipindi cha miaka 30?
People, lets face it. Umasikini TANZANIA hautaisha kwa Gavana Ndullu kuwanyima mikopo wafanyakazi wake. Rather umasikini utaisha kwa wale wanaokabidhiwa dhamana ya kuongoza haya mashirika kwa kuchapa kazi kwa ufanisi kusudi waweze kutoa incentive kwa wafanyakazi wao. Alichokifanya Ndullu ni halali kabisa. Sema tunaona ni abnormal kwa sababu ya umasikini wetu..... wote macho yetu yako BOT. Infact kama mashirika yote yangekuwa yanaendeshwa kwa ufanisi...hii ingekuwa ni namna ya kumotivate watu wachape kazi...
Msisahau kwamba jamani..human being is inherently selfish. Mtu huwezi kumwambia amalize PhD yake Harvard au kwingineko..then aje umpe mshahara wa nyanya! Na mikopo ya namna hii ni mojawapo ya kutoa incetives za kuwa attract wataalamu makini. Hivi Ndullu na PhD yake ya Northwestern..mnadhani angekosa kazi makini huko World Bank au kwingineko? Lets face it. Ndo ukweli unaouma huo.
I may be wrong, lakini nadhani this is a good strategy, as long as watu wanafanya kazi. Harafu tusitake kumsingizia Ndullu..anayeharibu ni JK na serikali yake kwa kushindwa kupambana na ufisadi..there enough for all of us..but when you allow the few to rip off the whole country..even hard working men and women...wanakuwa victims.... Let every hard working man and woman be rewarded. Huwezi sema kwamba kwa vile we are the poorest nation on earth basi mimi Masanja na PhD yangu (mfano) nisipate kitu kusudi tulingane. Hizo ni zama za ujima!
Kama alivyosema Waberoya, its only hard work which can liberate a person from the equation of poverty. Hata hawa wananchi lazima wafike kipindi..wajue kwamba na wao wana obligation kama raia..siyo kutetewa tuu. Mfano wanapohitajika kupiga kura..let them elect serious and responsible leaders. Leo unapewa tshirt unampigia kura fulani..kesho jamaa akijineemesha na wewe unakufa kwa njaa..utamlaumu nani? Otherwise..poverty is here to stay..whether Ndullu gives out Largesse za BoT kwa wafanyakazi wake or not.
Tuache kusingizia ufisadi kila kitu..I say Ndullu amefanya jambo jema. Cha muhimu kuwe na transprency na accountability.
Masanja,