T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 10,650
- 34,945
Watu hawaangalii time value of money (TVM), mtu binafsi unaweza fanya huo ujinga kumkopesha mtu 15M akulipe 26M miaka 9 ijayo?Naunga mkono hoja. Mkopo una riba ndogo sana. Maranyingi watu hawaangalii muda wa mkopo. Miaka9 kwa hiyo riba ni rafiki sana.
Benki hapo wamesaidia sana. Hiyo gharama nyingine tunayoona wala benki hawaichukui yote. Wanalipa kodi serikalini, wanalipia mifumo ya kibenki na usalama, wanalipia bima, gharama za uendeshaji, corporate social responsibility, etc.
Mkopo sawa na bure huo