Mr. Marangu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2013
- 1,565
- 1,516
Benki kuu ya Tanzania inafaa sasa wafikirie kutuletea sarafu ya Tsh 600 kutokana na wimbi la vitu vilivyokua vikiuzwa Tsh 500 sasa vinauzwa 600, hali hii imepelekea kuwapo kwa usumbufu wa upatikanaji wa chenchi, hali inayopelekea mnunuzi wa huduma kufikia kisamehe ama kudai kiasi cha chenchi
Ikiwapendeza pia sasa wafute sarafu ya Tsh 50.
Nawasilisha mapendekezo yangu.
Ikiwapendeza pia sasa wafute sarafu ya Tsh 50.
Nawasilisha mapendekezo yangu.