Hivi wadau zile kazi zilizopitia hapa hapa jamvini za tra na bot vp walishaita wateule katika entreview? Nisaidieni majibu wadau!
duh!!!!!!!!Nimeona kuna haja ya kukusaidia kwenye swali lako. Inawezekana waliishaita lakini walioitwa aidha hawaingii Jamii forums, hawana mahusiano na watu wa jamii forums au huchungulia tu si member na pia inawezekana wasiwe na interest ya kujibu hilo.
Kwakuwa wewe ni mtafuta kazi, take trouble wapigia hao BOT na TRA waambie unaulizia process za application zimefikia wapi, naamini watakusaidia.
Nimeona kuna haja ya kukusaidia kwenye swali lako. Inawezekana waliishaita lakini walioitwa aidha hawaingii Jamii forums, hawana mahusiano na watu wa jamii forums au huchungulia tu si member na pia inawezekana wasiwe na interest ya kujibu hilo.
Kwakuwa wewe ni mtafuta kazi, take trouble wapigia hao BOT na TRA waambie unaulizia process za application zimefikia wapi, naamini watakusaidia.
Hivi hawakuandia kuwa ukiona hujasikia chochote kutoka kwetu baada ya muda fulani ujue hukuwa qualified au?? Poel lakini
umenena vyema mkuu...nadhan ofisi za tra na bot zipo so akaulizie huko.
na tafadhali ukienda kuulizia waambie wawe wana post JF kuwasaidia watu kama wewe
duh kaka hivi date line iikuwa lini? maana mimi kwa upeo wango miezi miwili baada ya dateline huwa naaashumu nimewaka.
umenena vyema mkuu...nadhan ofisi za tra na bot zipo so akaulizie huko.
na tafadhali ukienda kuulizia waambie wawe wana post JF kuwasaidia watu kama wewe
kuna mawili hapa, yawezekana bado wako kwenye mchakato kwani applications ni nyingi na always they are looking for the right candidates au zilikuwa formalities tayari walishaajiriwa wajombazao
mkuu washaitwa na washaanza-kuna mmoja namfahamu yupo TRA dsm kaanza ana kama 2 weeks sasa ofisiniHivi wadau zile kazi zilizopitia hapa hapa jamvini za tra na bot vp walishaita wateule katika entreview? Nisaidieni majibu wadau!
Hivi mnajua huyu anaishi wapi? au kwakuwa wewe unaishi Dar unadhani wote tupo Dar.
Hivi kuna mambo mangapi yanaulizwa humu jf ambayo majibu yake ni kgoogle tu na yanajibiwa?.
Ina udhi sana unapodhani kuwa sehemu fulani unaamini utapata msaada wa magreat thinkers kisha unaambulia majibu ya kukatisha tamaa toka kwa watu wanaotumia net za bure ofisini kwao na kdhani wote tuna access kama zao.
Jamani watu wamechanganyikiwa na kazi, kama hujui kaa kimya au mshauri kiungwana kuliko majibu ya kipuuzi kama haya