Taito inatisha lakini point yako nami naikubali. Hakuna mwanaume anapenda mwanamke anayejifanya mtakatifu, mlokole fulani. Mfano mkiwa kwenye game inabidi unakuwa na mautundu kwani kujifanya si mzoefu hakukusaidii kitu wala nini. Ila with your single partner/hubby; si kugawa hovyo.
Yes I also agree most men like challenges. Wanataka mwanamke ambaye ana akili hata akifungua mdomo kuongea kitu mbele ya marafiki zake, wanasema yes, shem kichwa kinafanya kazi. Sio unaongelea kusuka nywele tu.
A strong woman ni challenge ambayo wanaume wengi wanailalamikia lakini wanaipenda. Kwenye maisha lazima muwe mna argue on issues siyo kila kitu watingisha kichwa tu.
Taito inatisha lakini point yako nami naikubali. Hakuna mwanaume anapenda mwanamke anayejifanya mtakatifu, mlokole fulani. Mfano mkiwa kwenye game inabidi unakuwa na mautundu kwani kujifanya si mzoefu hakukusaidii kitu wala nini. Ila with your single partner/hubby; si kugawa hovyo.
Yes I also agree most men like challenges. Wanataka mwanamke ambaye ana akili hata akifungua mdomo kuongea kitu mbele ya marafiki zake, wanasema yes, shem kichwa kinafanya kazi. Sio unaongelea kusuka nywele tu.
A strong woman ni challenge ambayo wanaume wengi wanailalamikia lakini wanaipenda. Kwenye maisha lazima muwe mna argue on issues siyo kila kitu watingisha kichwa tu.
Mume: Baba Paroko nimekuja kumshitaki mke wangu.
Paroko: Tatizo ninini?
Mume: Mwenzangu huyu kila tunaponanihii, yeye hulia na kusema maneno yafuatayo:
-Ooohhh Jesus....Uhhh!..mARIA mtakatifu...yesuNibembeleze nibebe....gOD YOU are so sweet!....ohhhh.ohhhh, yohana Mbatizaji!...ohohhhoooooooooooooooooooooooo!!!mTKAtifu Thersia wa mtoto yESU!
Paroko: kwahiyo shida ninini?
Mume:ananiboa sana na hayo maneno, na kunikatisha mzuka!
Usiseme hakuna mwanaume! Sema wanaume wengi unaowajua hawapendi hivi! Kwani mimi unanijua sasa?
Kila mtu ana option yake.
aiyaa sikuona hii thread my dear nilikuwa nakuperuzi kidogo u know i like u so much!Girlfriends! Ukiambiwa uchague; kulizwa au kuliza utachagua nini?
I use to be a good girl, but it costed me a lot of cries and sleepless nights! Then siku moja mama mtu mzima akaniambia kuwa wanaume huboreka sana na wanawake wapole, wakarimu na watiifu. Huyu mama hajui hata kusoma wala kuandika; so kajifunza hii from experience!
After reflecting and reading about relationship nimegundua it is true, na baada ya kuanza kuwa bitch (meaning l know what l want in a relationship and l take no nonsense) nimeona inalipa! Men like challenged, so kumsumbua inaongeza mapenzi!
What is ur experience? Ofcourse hata wanaume mnaweza comment!
kwani hapa mnazungumzia bitch?to be a bitch is better....i think good girls just like good boys are boring.....:bange:
thats not what being a bitch is about!! au ukiwa real unaitwa bitch siku hiziGirlfriends! Ukiambiwa uchague; kulizwa au kuliza utachagua nini?
I use to be a good girl, but it costed me a lot of cries and sleepless nights! Then siku moja mama mtu mzima akaniambia kuwa wanaume huboreka sana na wanawake wapole, wakarimu na watiifu. Huyu mama hajui hata kusoma wala kuandika; so kajifunza hii from experience!
After reflecting and reading about relationship nimegundua it is true, na baada ya kuanza kuwa bitch (meaning l know what l want in a relationship and l take no nonsense) nimeona inalipa! Men like challenged, so kumsumbua inaongeza mapenzi!
What is ur experience? Ofcourse hata wanaume mnaweza comment!
thats not what being a bitch is about!! au ukiwa real unaitwa bitch siku hizi
Girlfriends! Ukiambiwa uchague; kulizwa au kuliza utachagua nini?
I use to be a good girl, but it costed me a lot of cries and sleepless nights! Then siku moja mama mtu mzima akaniambia kuwa wanaume huboreka sana na wanawake wapole, wakarimu na watiifu. Huyu mama hajui hata kusoma wala kuandika; so kajifunza hii from experience!
After reflecting and reading about relationship nimegundua it is true, na baada ya kuanza kuwa bitch (meaning l know what l want in a relationship and l take no nonsense) nimeona inalipa! Men like challenged, so kumsumbua inaongeza mapenzi!
What is ur experience? Ofcourse hata wanaume mnaweza comment!
aiyaa sikuona hii thread my dear nilikuwa nakuperuzi kidogo u know i like u so much!
back to topic am speechless! ngoja na mimi niwe bitch!
who cares what anyone thinks..., nadhani just be youself.., ambaye hataki yeye ndio abadilike
thats not what being a bitch is about!! au ukiwa real unaitwa bitch siku hizi