Bora nini? To be a good girl or a 'bitch?'

Kaunga

JF-Expert Member
Nov 28, 2010
12,530
13,467
Girlfriends! Ukiambiwa uchague; kulizwa au kuliza utachagua nini?
I use to be a good girl, but it costed me a lot of cries and sleepless nights! Then siku moja mama mtu mzima akaniambia kuwa wanaume huboreka sana na wanawake wapole, wakarimu na watiifu. Huyu mama hajui hata kusoma wala kuandika; so kajifunza hii from experience!

After reflecting and reading about relationship nimegundua it is true, na baada ya kuanza kuwa bitch (meaning l know what l want in a relationship and l take no nonsense) nimeona inalipa! Men like challenged, so kumsumbua inaongeza mapenzi!

What is ur experience? Ofcourse hata wanaume mnaweza comment!
 
Du, hiyo title balaa. Ngoja nirudie tena kusoma. A bitch? That's steep
 
Taito inatisha lakini point yako nami naikubali. Hakuna mwanaume anapenda mwanamke anayejifanya mtakatifu, mlokole fulani. Mfano mkiwa kwenye game inabidi unakuwa na mautundu kwani kujifanya si mzoefu hakukusaidii kitu wala nini. Ila with your single partner/hubby; si kugawa hovyo.

Yes I also agree most men like challenges. Wanataka mwanamke ambaye ana akili hata akifungua mdomo kuongea kitu mbele ya marafiki zake, wanasema yes, shem kichwa kinafanya kazi. Sio unaongelea kusuka nywele tu.

A strong woman ni challenge ambayo wanaume wengi wanailalamikia lakini wanaipenda. Kwenye maisha lazima muwe mna argue on issues siyo kila kitu watingisha kichwa tu.
 
Bibie usijidanganye eti kuwa bitch ni afadhali, wengine tukisumbuliwa tunachana mbao na kukimbia zetu maana kasheshe la mbele ukioa bitch mhhh utakoma mwenyewe na mambo ya Beijing...Show your really character ndugu yangu sio kujifanya mpole kumbe sio...
 
Girlfriends! Ukiambiwa uchague; kulizwa au kuliza utachagua nini?
I use to be a good girl, but it costed me a lot of cries and sleepless nights! Then siku moja mama mtu mzima akaniambia kuwa wanaume huboreka sana na wanawake wapole, wakarimu na watiifu. Huyu mama hajui hata kusoma wala kuandika; so kajifunza hii from experience!

After reflecting and reading about relationship nimegundua it is true, na baada ya kuanza kuwa bitch (meaning l know what l want in a relationship and l take no nonsense) nimeona inalipa! Men like challenged, so kumsumbua inaongeza mapenzi!

What is ur experience? Ofcourse hata wanaume mnaweza comment!



We are both of them in one way or another, but mwenye kuweza ni yule anaejua when to be a b* and when to be a good girl...
 
Taito inatisha lakini point yako nami naikubali. Hakuna mwanaume anapenda mwanamke anayejifanya mtakatifu, mlokole fulani. Mfano mkiwa kwenye game inabidi unakuwa na mautundu kwani kujifanya si mzoefu hakukusaidii kitu wala nini.
Mume: Baba Paroko nimekuja kumshitaki mke wangu.
Paroko: Tatizo ninini?
Mume: Mwenzangu huyu kila tunaponanihii, yeye hulia na kusema maneno yafuatayo:
-Ooohhh Jesus....Uhhh!..mARIA mtakatifu...yesuNibembeleze nibebe....gOD YOU are so sweet!....ohhhh.ohhhh, yohana Mbatizaji!...ohohhhoooooooooooooooooooooooo!!!mTKAtifu Thersia wa mtoto yESU!
Paroko: kwahiyo shida ninini?
Mume:ananiboa sana na hayo maneno, na kunikatisha mzuka!
 
Mume: Baba Paroko nimekuja kumshitaki mke wangu.
Paroko: Tatizo ninini?
Mume: Mwenzangu huyu kila tunaponanihii, yeye hulia na kusema maneno yafuatayo:
-Ooohhh Jesus....Uhhh!..mARIA mtakatifu...yesuNibembeleze nibebe....gOD YOU are so sweet!....ohhhh.ohhhh, yohana Mbatizaji!
Paroko: kwahiyo shida ninini?
Mume:ananiboa sana na hayo maneno, na kunikatisha mzuka!

nimecheka sana usiku mwema.
 
Mume: Baba Paroko nimekuja kumshitaki mke wangu.
Paroko: Tatizo ninini?
Mume: Mwenzangu huyu kila tunaponanihii, yeye hulia na kusema maneno yafuatayo:
-Ooohhh Jesus....Uhhh!..mARIA mtakatifu...yesuNibembeleze nibebe....gOD YOU are so sweet!....ohhhh.ohhhh, yohana Mbatizaji!...ohohhhoooooooooooooooooooooooo!!!mTKAtifu Thersia wa mtoto yESU!
Paroko: kwahiyo shida ninini?
Mume:ananiboa sana na hayo maneno, na kunikatisha mzuka!

aah aah aaahh uuwiii...oooh jesus,msamehe uyo dada aliyelalamika kwa jina lako maana hajui alitendalo.
 
kuwa good girl fulltime lakin a bitch kitandani mwanaume lazima apagawe…... hapo utakuwa umekamata a bull by its horns
 
Mume: Baba Paroko nimekuja kumshitaki mke wangu.
Paroko: Tatizo ninini?
Mume: Mwenzangu huyu kila tunaponanihii, yeye hulia na kusema maneno yafuatayo:
-Ooohhh Jesus....Uhhh!..mARIA mtakatifu...yesuNibembeleze nibebe....gOD YOU are so sweet!....ohhhh.ohhhh, yohana Mbatizaji!...ohohhhoooooooooooooooooooooooo!!!mTKAtifu Thersia wa mtoto yESU!
Paroko: kwahiyo shida ninini?
Mume:ananiboa sana na hayo maneno, na kunikatisha mzuka!

something funy to you na majuha wengine,lakini kwangu naona kama ni kudhalilishana kiimani...Hao manabii sisi christian tunawarespect,and we expect you also to do the same snitch
 
kuwa good girl fulltime lakin a bitch kitandani mwanaume lazima apagawe…... hapo utakuwa umekamata a bull by its horns

wakati wa majamboz ile milio ya mahaba wanayotoa wadada na mingurumo ya wababa ni kuji motivate tu kwamba am doing a good job...
 
Mume: Baba Paroko nimekuja kumshitaki mke wangu.
Paroko: Tatizo ninini?
Mume: Mwenzangu huyu kila tunaponanihii, yeye hulia na kusema maneno yafuatayo:
-Ooohhh Jesus....Uhhh!..mARIA mtakatifu...yesuNibembeleze nibebe....gOD YOU are so sweet!....ohhhh.ohhhh, yohana Mbatizaji!...ohohhhoooooooooooooooooooooooo!!!mTKAtifu Thersia wa mtoto yESU!
Paroko: kwahiyo shida ninini?
Mume:ananiboa sana na hayo maneno, na kunikatisha mzuka!

dahh hii kali lol
 
Nani anakomolewa after all...for the sake ya kizazi hiki bora kua good girl! Hakuna alomcha mwenyezi Mungu akapata mume kimeo..ukiona umepata kimeo chunguza mwenendo wako!
 
aaah wapi...sio kweli hata kidogo coz fro a bit of psychology we, men are very less tolerant.a lot of us ukitusumbua we look for some place to relax zaid zaid kama a man yupo so deep in love...(shit)....ata cheat. sa ni vyema kumtanbua vyema jamaaa wako what he likes he should know what u like sa as to matchan decrease diferences...saasa ukiwa bitch at last no one will like you coz no one need a Bit***h galfriend
 
be u...if u r a gud gal then cntnue to move that way...Mapenzi ya sasa yanalana yasikubadilishe you just live your life...
 
Bibie usijidanganye eti kuwa bitch ni afadhali, wengine tukisumbuliwa tunachana mbao na kukimbia zetu maana kasheshe la mbele ukioa bitch mhhh utakoma mwenyewe na mambo ya Beijing...Show your really character ndugu yangu sio kujifanya mpole kumbe sio...

I get you! That not all men like challenges! Ingawa nina reservations. Kuna mtu hapa JF alushawahi kuja na complain kuwa wanawake hupenda masharobaro wanaowasumbua: maybe wote twapenda kuhangaikia kitu ili tuone thamani ya hicho kitu!
 
Back
Top Bottom