Nimeona ni bora ningezaliwa somalia niwe hata gaidi kuliko kuishi hapa tanzania nchi ya ufisadi, dhuluma na manyanyaso ya raia wasio na hatia.
hapo umenena m2 wanguAkili zako zinakutosha wewe mwenyewe,amani ni kama ndoa,ndoa ni aina fulani ya Zizi (Boma) kubwa amabalo waliopo ndani wanataka kutoka na waliopo nje wanataka kuingia,amani uliyonayo ndiyo inayokufanya utake kua Somalia,Tatizo la mateso na tabu zako wewe na watanzania kwa ujuma yataisha kama wewe na Watanzania wengine mtaamua kufanya kweli kwenye sanduku la kura 2015.
As the Man thinketh so is he, go to Somalia na kawe gaidi, ujilipue kama mwehu anaye tegemea wake 72. I am logging off.Nimeona ni bora ningezaliwa somalia niwe hata gaidi kuliko kuishi hapa tanzania nchi ya ufisadi, dhuluma na manyanyaso ya raia wasio na hatia.
una laanaNimeona ni bora ningezaliwa somalia niwe hata gaidi kuliko kuishi hapa tanzania nchi ya ufisadi, dhuluma na manyanyaso ya raia wasio na hatia.
Nimeona ni bora ningezaliwa somalia niwe hata gaidi kuliko kuishi hapa tanzania nchi ya ufisadi, dhuluma na manyanyaso ya raia wasio na hatia.
Mpuuzi sana huyo...Kwani kinachokuzuia kuwa gaidi ukiwa tz ni nini? Go ahead and suit urself! Unataka kutest sumu kwa kuionja?!
Mpuuzi sana huyo...
Orait... Mwehu kabisaSio mpuuzi banaa,mwehu! Doing the same thigh the same way over and over again and expecting the same result is a conclusive sign of insanity!
...tuombe Mungu iwe hivyo!!Akili zako zinakutosha wewe mwenyewe,amani ni kama ndoa,ndoa ni aina fulani ya Zizi (Boma) kubwa amabalo waliopo ndani wanataka kutoka na waliopo nje wanataka kuingia,amani uliyonayo ndiyo inayokufanya utake kua Somalia,Tatizo la mateso na tabu zako wewe na watanzania kwa ujuma yataisha kama wewe na Watanzania wengine mtaamua kufanya kweli kwenye sanduku la kura 2015.
Ujinga usio na kipimo, kwani Somalia hukufahamu, nenda Namanga halafu panda basi uishie Dadaab utakutana na wasomali wengi tu wanaotoka huko.Kwa upendo ulionao kwa nchi ya Somalia utaelekezwa jinsi ya kufika Magadishu!Nimeona ni bora ningezaliwa somalia niwe hata gaidi kuliko kuishi hapa tanzania nchi ya ufisadi, dhuluma na manyanyaso ya raia wasio na hatia.