Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Whatts up shishi....( sijaolewa bado...soon InshaAllah), hoping that i will love it and never wnat to be single again.....tiririiririririiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Whatts up shishi....( sijaolewa bado...soon InshaAllah), hoping that i will love it and never wnat to be single again.....tiririiririririiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Temea mate chini MkuuNampa hongera Kana kansungu kwa kuleta mada hii.
Mie nimeoa na ninathubutu kusema maisha ya ndoa ni matamu kuliko watu wanavyodhani....
Saafi saaaaaana KKK. Yaani tusijidanganye eti oh nasubiri tu mpaka siku ya harusi ndipo madam au mume uanze kishi naye kwa muda mrefu. Hata kama mnaishi kwa muda on and off ile ya kumega tunda lakini bado mnahitaji muda mrefu kuishi pamoja ili kufahamiana zaidi. Hapa napingana na wachungaji wote, makasisi, mapadre yaani viongozi wote wa dini hasa wakristo. Ndoa nyingi zimekufa forever, nyingine ziko ICU, nyingine ziko njiani na ambulence kupelekwa ICU, nyingine ziko kitandani zinagumia bado kufika hospitali, nyingine ni wagonjwa mahututi watarajiwa. Zote hizi ni matokea ya either kutofahamiana mapema kitabia so you are incompartible kama blood groups so for sure the marriage willl clot!!!
Wow!!! I am amazed by your insight. Your analogy is very apt. 100% compatibilty and common goals. Yaani I got goose bumps.
Mimi niliishi na my better-half wangu kwa muda mrefu, tukafanya homeworks zote za couples independently na kufanya corrections together. I love my marriage life, we miss each other, we have become marriage counselors. And nikisikia mtu anaoa au kolewa kama namfahamu huwa tu namuuliza "Je unamfahamu na kumjua vilivyo mtarajiwa wako?" Huwa napata response mbalimbali hapa. Bottom line, watu wengi wanaingia katika ndoa for the sake ya kuoa/kuolewa bila kufanya analyses ya maisha halisi ya ndoa, kibaya mno kila mmoja anakuwa na matarajio tofauti kabisa kutoka kwa mwenzake, mwishowe yasipofikia ni kiama cha Talaka au a hell family life. Watch out guys!!!
Sasa ili ndoa idumu ni nini hasa kifanyike ili wanaotaka kuingia wasihofu kuingia.
100% compatibility hii kitu inawezekana ama you mnachukua utofauti wenu and make it work?
100% compatibility hii kitu inawezekana ama you mnachukua utofauti wenu and make it work?
Kuoa bugudha.....kwanini msizae tu lazima muoane? zaeni kila mtu ansshika time yake...
100% compatibility hii kitu inawezekana ama you mnachukua utofauti wenu and make it work?
Hakuna kitu kama hiyo aisee. Cha muhimu ni kuheshimiana, kutendeana vizuri, kupendana, na kuvumiliana. Bila hayo you are doomed
Maisha ya ndoa jamani yana raha, japo bado sipo huko.Cha muhimu ni kupata yule ambaye Mungu amekuandalia. Utafurahia ndoa yako kama paradiso/mbingu.
Kuoa bugudha.....kwanini msizae tu lazima muoane? zaeni kila mtu ansshika time yake...
Kuoa bugudha.....kwanini msizae tu lazima muoane? zaeni kila mtu ansshika time yake...