LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,457
Yani ninacho ss namna ya kuforwad frm iBooks kasheshehicho cha mrs obama kuna mtu kakiweka hapa kama bado naomba pdf yke plz
Will try
Yani ninacho ss namna ya kuforwad frm iBooks kasheshehicho cha mrs obama kuna mtu kakiweka hapa kama bado naomba pdf yke plz
thanks in advance!Ohh. I will tell you.
This sounds interestingHicho kitabu kimeenda dimension nyingine.
Kuna sehemu unaulizwa, vipi kama panya walio katika labotatory wana akili kuzidi watu wanaowafanyia majaribio, na kiukweli hao panya ndio wanawafanyia watu majaribio, lakini wamejifanya kama wao ndio wanafanyiwa majaribio ?
Nitakukumbusha. Nipe tuu ratiba yako ya muda ulio free utakaoweza kuutumia kusoma.Naomba pia uwe unanikumbusha hadi mwaka unaisha ninesoma 3 nataka kabla ya mwaka haujaisha niwenimaliza kingine
I gotta sleep till dinner time for real profit
Nitakukumbusha. Nipe tuu ratiba yako ya muda ulio free utakaoweza kuutumia kusoma.
Pia naomba hicho unachotaka kukisoma kumalizia mwaka tukisome wote ili niwe nakukumbusha vizuri na kukuuliza maswali kuhusiana na hicho kitabu kuhakikisha hauruki kurasa
Finally....someone mentioned one of my best book....I was wondering if am the only one who likes Marthin booksSong of Ice and fire
This is one of the best book I ever read...The Alchemist by Paulo Coelho
"If someone isn't what others want them to be, the others become angry. Everyone seems to have a clear Idea of how other people should learn their lives, but none about his or her own".
"And, when you want something, all the universe conspires in helping you to achieve it".
"It's possibility of having a dream come true that makes life interesting ".
"When we love, we always strive to become better than we are, when we strive to become better than we are, everything around us become better too".
"There is only one thing that makes a dream impossible to achieve : fear of failure ".
"The secret of life, though is to fall seven times and get up eight times".
"I don't live in either my past or my future, I am interested only in the present. If you can concentrate always on the present, you will be a happy man. Life will be a party for you, a grand festival, because life is the moment we are living now." Paulo Coelho, The Alchemist.
Cc SweetieLee, 4G LTE
Kuna kingine kinaitwaHivi ni vitabu vinavyofundisha maisha ni zaidi ya kuhangaika na pesa. Soma pia 5am club,Leader with no title, Who will cry when you die vyote vya huyo huyo Robin Sharma
NitakisomaKuna kingine kinaitwa
Megaliving Cha Sharma pia
Sure hardcopy ndio mpango japo namna ya kuifadhi nayo ni changamotoMimi napenda kusoma Hardcopy. Inanifanya niwe comfortable kusoma kitabu changu sehemu yoyote, mgahawani, beach, safarini nk.
Soft copy inanipa shida ya macho na kushindwa pia ku concentrate. Nilijaribu softcopy nilijikuta kitabu nakisoma mwezi mzima ambacho ni kitabu cha masaa manne au matano ukiwa safarini.
Unahifadhi vizuri tuu, na uhakikishe haumwazimi mtu kabla haujamaliza kukisoma.Sure hardcopy ndio mpango japo namna ya kuifadhi nayo ni changamoto
Liked it too, that was during English coarse when I was in Form one.I'm afraid mine might be "HAWA THE BUS DRIVER". Reading a book of 100+ pages has been a challenge to me. I'm optimistic this thread is going to inspire me. I'll soon come back and share mine.
Mi sikukimaliza, ni kikubwa sana. Ila kinachekesha sana japo wanasema tunaosoma translation hatupati uhondo kamili.I have discovered that i havent answered your question, i read it in English.
Kuanzia 8:00 am naingia job natoka 4:30 pm baada ya hapo naingia kwenye private issue hadi saa 8:30 mp kuanzia apo nakua free natumia kusomasoma na mambo mengineNitakukumbusha. Nipe tuu ratiba yako ya muda ulio free utakaoweza kuutumia kusoma.
Pia naomba hicho unachotaka kukisoma kumalizia mwaka tukisome wote ili niwe nakukumbusha vizuri na kukuuliza maswali kuhusiana na hicho kitabu kuhakikisha hauruki kurasa
"There is magic, but you have to be the magician. You have to make the magic happen" ~~Sidney Sheldon, Are You Afraid of the Dark.Are you afraid of the dark by Sydney sheldon
Kama una pdf yake share nasi mkuu tunufaike wote"There is magic, but you have to be the magician. You have to make the magic happen" ~~Sidney Sheldon, Are You Afraid of the Dark.