Jiepushe kupambana na CHADEMA na wengine ambao mnakokwenda ni kumoja! . Ungana na CHADEMA na wengine katika mapambano.
Kama una la kusema nao, waite pembeni mnongone na si kupayuka kwenye maria spaces maana unaipa CCM advantage! na unajenga negativity against you, na kwa mlengo huo hutatoboa.....Lengo lako ni zuri lakini the way forward ni false and falacy!
HILO LIMEKUANGUSHA! REKEBISHA , BADO KUNA MUDA WA KUTOSHA TO FORGE AHEAD. UKOMBOZI HAUJI OVERNIGHT!
Kama una la kusema nao, waite pembeni mnongone na si kupayuka kwenye maria spaces maana unaipa CCM advantage! na unajenga negativity against you, na kwa mlengo huo hutatoboa.....Lengo lako ni zuri lakini the way forward ni false and falacy!
HILO LIMEKUANGUSHA! REKEBISHA , BADO KUNA MUDA WA KUTOSHA TO FORGE AHEAD. UKOMBOZI HAUJI OVERNIGHT!