Swali zuri kwenu wanaume, wanawake wamekosa nini kwenu wanachopeana wenyewe kwa wenyewe?
Wanaume wenyewe ma-barubaru.
Nani anataka kujiingiza matatizoni?
Bora nitafute mwenzangu ambae hanisumbui.
Wanaume wenyewe ma-barubaru.
Nani anataka kujiingiza matatizoni?
Bora nitafute mwenzangu ambae hanisumbui.
Wanaume wenyewe ma-barubaru.
Nani anataka kujiingiza matatizoni?
Bora nitafute mwenzangu ambae hanisumbui.
siku hizi sijui umekuaje!!!
Na wamejaa kila kona
Kuna haja ya kujiuliza maswali mengi ya msingi..
Kuna dada/mama mmoja alikuwa analalama mbele ya wanawake wenzie alikuwa ameolewa wakaachana na mzee wake sasa ni msagaji aliyekubuhu...
Nanukuu
Mwanamme mwenyewe haniridhishi
Kunipiga anipige
True love hana
Mahitaji nyumba yanasuasua labda ajira yangu ndo inaniweka mjini
Kisa nini ngoja niende kwa mwanamke mwenzangu kwanza haniumizi na anajua nataka nini
mungu apishe mbali sijui huyo mmewe alikuwa amuumiza nini?sikutaka hata kuuliza
Jahazi linaelekea kuzama,wanaume okoeni maana sijui wanawake wanakosa nini kwenu.
Swali zuri kwenu wanaume, wanawake wamekosa nini kwenu wanachopeana wenyewe kwa wenyewe?
wanaume siku hizi wanakunywaaaaaaa na misigara, baada ya miaka kadhaa hazinyanyuki mpaka kwa booster, lishe yenyewe chipsi yai na urojo, saa ngapi??? ila kwa kweli KUSAGANA ni laana! MUUMBA WETU JUU ATAIANGAMIZA DUNIA!
Wanaume wachache siku hizi