ngasha
Senior Member
- Jul 9, 2016
- 145
- 74
Habar zenu wadau
Hebu tuangalie hii tasnia ya vichekesho bongo. Kifupi ni kwamba kwa sasa tasnia hii imevamiwa yani uvamizi mkubwa umeingia ktk tasnia hii
Kumekuwa na idadi kubwa ya wachekeshaji na vikundi vya uchekeshaji bongo
MFano wa vikundi ni pamoja na :
Jambo na vijambo , Mizengwe , Ze comedy , Futuhi ,Org comedy nk
MFano was wachekeshaji ni pamoja na : Joti , May fundi , brother K , kazola , Mpoki , Bambo , Mkwere , oketch , kiwewe , masele nawengine weeeengi
Sasa bac ningependa kila mtu amtaje mchekeshaji mmoja tu na kundi moja tu la vichekesho analo likubali Bongo ilitujue wachekeshaji wapi wanajua na wapi ni wavamizi wa fani za watu !
Kazi kwenu majaj
#Ni mtazamo tuu !!
Hebu tuangalie hii tasnia ya vichekesho bongo. Kifupi ni kwamba kwa sasa tasnia hii imevamiwa yani uvamizi mkubwa umeingia ktk tasnia hii
Kumekuwa na idadi kubwa ya wachekeshaji na vikundi vya uchekeshaji bongo
MFano wa vikundi ni pamoja na :
Jambo na vijambo , Mizengwe , Ze comedy , Futuhi ,Org comedy nk
MFano was wachekeshaji ni pamoja na : Joti , May fundi , brother K , kazola , Mpoki , Bambo , Mkwere , oketch , kiwewe , masele nawengine weeeengi
Sasa bac ningependa kila mtu amtaje mchekeshaji mmoja tu na kundi moja tu la vichekesho analo likubali Bongo ilitujue wachekeshaji wapi wanajua na wapi ni wavamizi wa fani za watu !
Kazi kwenu majaj
#Ni mtazamo tuu !!