Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Habari zilizotufikia zinasema bomu moja limelipuka jana katika kiwanja cha mtu wakati mtoto wake wa kazi akifanya usafi uwanjani,,,habari zaidi zinasema alipata majeraha kidogo akuna aliekufa.............
KAZI KWENU JWTZ tuchachoka na mabomu jamani
KAZI KWENU JWTZ tuchachoka na mabomu jamani