Yote yanawezekana kwa Chamdomo kwani nao kwa siasa chafu ni vinara wa kubwa, any way tusubiri taarifa kamili tusije tukapakana matope kumbe hasidi yu wazi.
usiku huu Mwingulu Mchemba amehamishwa HOTELINI na maaskari kwa usalama wake alikuwa hapa Sterio Hotel chumba namba 214 na haijulikani amehamishiwa wapi na walizima taa zote wakampitisha Jikoni na kuelekea kusikojulikana
Hapa inamaana Polisi walipiga mabomu ya machozi kumpa mwanya muhusika kukimbia,inauma sana mtu unaemuamini awe mlinzi wako kumbe ndie adui yako...Hii polisi itajuta kwa haya inayoyafanya,kama serekali inawatoa roho wananchi wake haitakaa iwe na huruma na umaskini wa mtanzania.
Hizo ni siasa za uchochezi kama za mfa maji' kama mna ushahidi wa hayo yaliyotokea peleken kwenye vyombo vya sheria' hzo kafara mnazozitoa nyinyi cdm na kusingizia CCM zitawatokea puani' tumekuwa na vyama vingi vya upinzani nchi hii na Afrika kwa ujumla ila sijaona chama chenye siasa za kipuuzi na kipumbafu kama cdm kisichojua hata thaman ya uhai wa watu?????
Waliopoteza maisha ni watanzania wenzetu!
Je, kuna kiongozi yeyote wa serikali aliyetembelea eneo la tukio?
Je, kuna kiongozi wa serikali aliyetembelea majeruhi hospitalini?
Je, kuna pole kutoka kwa Mkuu wa Mkoa au wa wilaya au popote katika ngazi ya juu zaidi.
Kama haya yote hakuna, natafakari..............................
wanasubiri mpaka mwigulu afanikishe mpango wake wa kuwaangamiza viongozi wa chadema!Nchimbi na igp wanangoja nini ofisini?
Jiulize kwanini Leo na siyo Jana? Hivi miaka yote AR ilikuwa kisiwa cha Amani Leo hii duu Lima kaharibu kila kitu. Mambo hayaendi AR, uchumi umedorora na wasipoangalia utakufa kabisa. Lima ni janga kubwa la AR
U'r days are numbered hata Ditopile aliua na akakingiwa kifua na serekali but where is he nw..?
mkuu mimi nilivyoelewa pale baada ya lile bomu la mkono kurushwa, kuna raiya walikua mbali kidogo hasa wale waliokua kwenye usawa uwanja wa mpira wa miguu walidhani ni polisi wameanza kupiga mabomu ya machozi na wao wakaanza kujitetea kwa kuwapiga kwa mawe ndipo polisi nao wakaanza kutupa mabomu ya machozi hovyo.
naamini polisi wasingerusha mabomu ningeweza hata kumkamata muhusika kwa mikono yangu mwenyewe kwasababu alikua karibu yangu sana.
cc to Mungi
uwezo wako wa kupambanua mambo ni mdogo sana..umejawa na ubaguzi wa udini na ukabila....laana ikutafune popote pale ulipo