Fandre
JF-Expert Member
- Sep 20, 2013
- 320
- 225
By Fandre
Baada ya Askofu Gwajima wa Ufufuo na Uzima kumlipua Dr Slaa na kuwasambaratisha kabisa wale waliokua wamemnunua ili kumdhoofisha Mh. Lowassa sasa hali Si shwari ndani ya kambi ya Chama cha Mapinduzi baada ya Silaha yao ya mwisho kuwaunguza wao wenyewe.
Askofu Gwajima alikemea wazi tabia ya Vyombo vya Usalama wa Taifa hili kupendelea upande mmoja huku wakisahau ya kuwa vyombo hivyo vipo kwa ajili ya Watanzania wote na sio CCM pekee kama vile ambavyo vyombo hivi vimekua vikitumika kuimarisha Utawala wa Chama cha Mapinduzi Kwa muda mrefu sasa.
Hongera sana Askofu Gwajima Kwa kusema UKWELI Kwa UJASIRI MKUBWA. Nchi hii haitakuja kuendelea kama watu wake hasa wale waliopewa dhamana kubwa ya kuzungumza Kwa niaba ya wananchi wengi wanyonge hawataamua kuusema ukweli.
Kwa Miaka mingi sasa CCM imekua ikivitumia vyombo hivi na taasisi mbalimbali za Nchi Katika kukandamiza upinzani nchini huku wakikosekana Watu Sahihi na wenye Dhamiri ya kweli ya kukemea jambo hili Kwa UJASIRI.
Sisi wananchi tunaohitaji Mabadiliko nje ya Mfumo uliochoka na kushindwa wa Chama cha Mapinduzi pamoja na Kwa niaba ya Watanzania wote na familia zao waliopoteza uhai wao na viungo vya miili yao kwa sababu ya Ukombozi wa Pili wa Taifa hili, tunasema AKHSANTE SANA na uendelee mbele katika kuwatetea Watanzania.
Tunafahamu viongozi wengi wa dini tunaowaheshimu Kuwa wanaweza kukemea uovu wa serikali na uonevu wa vyombo vya usalama wamenunuliwa na serikali ya CCM ili kutetea maslahi ya chama hicho Lakini uwepo wa viongozi wachache wa aina ya Askofu Gwajima unatupa moyo kuwa bado wapo viongozi wasafi na wenye uwezo mkubwa kutetea haki zetu.
Tumefurahi sana Kujua Kuwa wewe ndiye uliyesaidia junkets Mh. Edward Lowassa katika kambi ya UKAWA Kwani Marple yake yanaonekana Kuwa ni makubwa ndio mana Serikali ya CCM itakuandama Sana Kwani tayari imeshapoteza mwelekeo.
Askofu Gwajima wewe ni KINGS' MAKER na Taifa pamoja na ulimwengu kwa ujumla umeshuhudia hili.
Leo CCM imerudi nyuma Sana Kwa sababu tu ya BOMU ulilomlipua Dr Slaa, na kila kona wana CCM wanapiga kelele kuashiria kuwa Kumbe wao ndio walimtuma Dr Slaa.
Mwaka huu Mabadiliko haya tuliyoyatafuta na kuyalilia kwa muda mrefu Lazima yapatikane.
Miaka 54 ya CCM inatosha. Kama wameshindwa Miaka yote hiyo kubadili Mfumo wa Chama chao ili kuwasaidia Watanzania basi hata sasa HAWATAWEZA Kwa muda WA Miaka Mitano Kwani Kila mtu wao amemezwa na Mfumo huo.
Ni zamu ya UKAWA sasa, ni zamu ya Lowassa.
LOWASSA ANAFAA NA ANATOSHA KWA URAIS.
#Chagua Lowassa
#Chagua UKAWA
#Mwaka wa Kuunda Tanzania Mpya
Baada ya Askofu Gwajima wa Ufufuo na Uzima kumlipua Dr Slaa na kuwasambaratisha kabisa wale waliokua wamemnunua ili kumdhoofisha Mh. Lowassa sasa hali Si shwari ndani ya kambi ya Chama cha Mapinduzi baada ya Silaha yao ya mwisho kuwaunguza wao wenyewe.
Askofu Gwajima alikemea wazi tabia ya Vyombo vya Usalama wa Taifa hili kupendelea upande mmoja huku wakisahau ya kuwa vyombo hivyo vipo kwa ajili ya Watanzania wote na sio CCM pekee kama vile ambavyo vyombo hivi vimekua vikitumika kuimarisha Utawala wa Chama cha Mapinduzi Kwa muda mrefu sasa.
Hongera sana Askofu Gwajima Kwa kusema UKWELI Kwa UJASIRI MKUBWA. Nchi hii haitakuja kuendelea kama watu wake hasa wale waliopewa dhamana kubwa ya kuzungumza Kwa niaba ya wananchi wengi wanyonge hawataamua kuusema ukweli.
Kwa Miaka mingi sasa CCM imekua ikivitumia vyombo hivi na taasisi mbalimbali za Nchi Katika kukandamiza upinzani nchini huku wakikosekana Watu Sahihi na wenye Dhamiri ya kweli ya kukemea jambo hili Kwa UJASIRI.
Sisi wananchi tunaohitaji Mabadiliko nje ya Mfumo uliochoka na kushindwa wa Chama cha Mapinduzi pamoja na Kwa niaba ya Watanzania wote na familia zao waliopoteza uhai wao na viungo vya miili yao kwa sababu ya Ukombozi wa Pili wa Taifa hili, tunasema AKHSANTE SANA na uendelee mbele katika kuwatetea Watanzania.
Tunafahamu viongozi wengi wa dini tunaowaheshimu Kuwa wanaweza kukemea uovu wa serikali na uonevu wa vyombo vya usalama wamenunuliwa na serikali ya CCM ili kutetea maslahi ya chama hicho Lakini uwepo wa viongozi wachache wa aina ya Askofu Gwajima unatupa moyo kuwa bado wapo viongozi wasafi na wenye uwezo mkubwa kutetea haki zetu.
Tumefurahi sana Kujua Kuwa wewe ndiye uliyesaidia junkets Mh. Edward Lowassa katika kambi ya UKAWA Kwani Marple yake yanaonekana Kuwa ni makubwa ndio mana Serikali ya CCM itakuandama Sana Kwani tayari imeshapoteza mwelekeo.
Askofu Gwajima wewe ni KINGS' MAKER na Taifa pamoja na ulimwengu kwa ujumla umeshuhudia hili.
Leo CCM imerudi nyuma Sana Kwa sababu tu ya BOMU ulilomlipua Dr Slaa, na kila kona wana CCM wanapiga kelele kuashiria kuwa Kumbe wao ndio walimtuma Dr Slaa.
Mwaka huu Mabadiliko haya tuliyoyatafuta na kuyalilia kwa muda mrefu Lazima yapatikane.
Miaka 54 ya CCM inatosha. Kama wameshindwa Miaka yote hiyo kubadili Mfumo wa Chama chao ili kuwasaidia Watanzania basi hata sasa HAWATAWEZA Kwa muda WA Miaka Mitano Kwani Kila mtu wao amemezwa na Mfumo huo.
Ni zamu ya UKAWA sasa, ni zamu ya Lowassa.
LOWASSA ANAFAA NA ANATOSHA KWA URAIS.
#Chagua Lowassa
#Chagua UKAWA
#Mwaka wa Kuunda Tanzania Mpya