Kagemro
JF-Expert Member
- Jan 11, 2010
- 1,433
- 633
Bodi ya wakurugenzi wa LHRC,imethibitisha kuchaguliwa kwa Dr Wilbroad Peter Slaa kupata tuzo ya majimaji kwa kuwa Mbunge aliyetoa mchango mkubwa katika utawala bora na haki za binadamu 2005 - 2010.
Award itatolewa tarehe kumi December siku ya haki za binadamun chini.
Tuzo hii awali ilikuwa itolewe mwishoni mwa mwezi wa Tisa lakini nafikiri kutokana na uwoga wa watu wetu ambao bado hawajakomaa kinidhamu (wana nidhamu ya uwoga) wakaamua kuhairisha mpaka siku ya kesho.
Ndugu wana JF tulio na mapenzi mema labda kwa upande mwingine tunathamini mchango wa ndugu huyu nahisi tunaweza kushiriki maana siku hii inasherehekewa na watu wote.
Award itatolewa tarehe kumi December siku ya haki za binadamun chini.
Tuzo hii awali ilikuwa itolewe mwishoni mwa mwezi wa Tisa lakini nafikiri kutokana na uwoga wa watu wetu ambao bado hawajakomaa kinidhamu (wana nidhamu ya uwoga) wakaamua kuhairisha mpaka siku ya kesho.
Ndugu wana JF tulio na mapenzi mema labda kwa upande mwingine tunathamini mchango wa ndugu huyu nahisi tunaweza kushiriki maana siku hii inasherehekewa na watu wote.