Wakuu kwa mwaka huu utakuwa msiba mkubwa kwa wanafunzi wengi watakaojiunga vyuo mbalimbali kwani wengi walijaza kwa kuangalia watangulizi wao na sio kozi gani zenye kipaombele, kuna kozi kama B com zote, Bba, socialogy,PSPA, na zote za social science hakuna mkopo kabisa kwani bora hata wangepata asilimia 0, wakati wale wa ualimu watapata mkopo usiozidi sh 500000 wengine wanaoangaliwa ni wale wanaochukua shahada za udaktari, phamacy na wale wa engineering kwa maana hiyo wale waliosoma kozi kama Hkl,HGL,HGE,HGK,EGM Hawatapata mkopo kama hawataki kwenda ualimu kwa maana hiyo waende ualimu wenyewd hata kama ufaulu ni wa daraja la kwanza na point 3. Hakika huu utakuwa ni msiba kwa watoto wengi wa wakulima kwani ndio kozi wanazokimbilia
nawasilisha!
nawasilisha!