Bodi ya mikopo acheni kucheza na akili za watu!

Mwaikibaki

JF-Expert Member
Mar 19, 2015
2,982
3,641
Naangalia taarifa ya habari hapa ITV,msemaji wa bodi ya mikopo anachezesha sentensi juu ya kigezo ambacho kimeleta sintofahamu kwa waombaji wa mikopo kinachozungumzia mzazi kumiliki leseni ya biashara,huyu jamaa anadai hicho si kigezo.

Nachojiuliza;kwani sisi wananchi tumetoa wapi hicho kigezo kama sio wao walioandika jana,hivi ni lini tutakua makini na tunachofanya.Kama mtu unadhani unachopanga kiko sahihi wacheni kuyumba yumba.
 
ungeangalia azam two ungefaidi waziri ndalichako alibanwa na muhuza kuhusu mikopo ya wanachuo
 
Naangalia taarifa ya habari hapa ITV,msemaji wa bodi ya mikopo anachezesha sentensi juu ya kigezo ambacho kimeleta sintofahamu kwa waombaji wa mikopo kinachozungumzia mzazi kumiliki leseni ya biashara,huyu jamaa anadai hicho si kigezo.

Nachojiuliza;kwani sisi wananchi tumetoa wapi hicho kigezo kama sio wao walioandika jana,hivi ni lini tutakua makini na tunachofanya.Kama mtu unadhani unachopanga kiko sahihi wacheni kuyumba yumba.
Tunachezewa akili
 
Alafu ikifika 2020 mjifanye mmesahau baada ya kupokea kofia na khanga!
 
Sibirini mradi wa Stiglers George ukikamilika hakika mtaishi kwenye Nchi ya Asali.
Be patient Mkuu.
 
Walianza ubaguzi wa kanda wakajiita wa kanda ya ziwa ,wakaleta ubaguzi katika kufanya mikutano ya kisiasa matokeo yake mliona, sasa mikopo ya elimu ya juu itafika hatua ili upate huduma lazima uwe na kadi ya kijani
 
Yani huyo jamaa alipokuwa akiulizwa maswali alikuwa akiyakwepa na anajibu tofauti kabisa na alichoulizwa na kwa kigugumizi kweli kweli yani nimeshangaa yani afisa habari au sijui mahusiano wa bodi halafu kujieleza ni tabu kiasi hicho
 
Hii serikali naona lengo wasomi wawe wachache na na wasio na elimu wawe wengi ili kuwatawala vizuri.maana ukitaka kumtawala MTU vizuri mnyime elimu hii nchi inaitaji great thinkers .
 
Naangalia taarifa ya habari hapa ITV,msemaji wa bodi ya mikopo anachezesha sentensi juu ya kigezo ambacho kimeleta sintofahamu kwa waombaji wa mikopo kinachozungumzia mzazi kumiliki leseni ya biashara,huyu jamaa anadai hicho si kigezo.

Nachojiuliza;kwani sisi wananchi tumetoa wapi hicho kigezo kama sio wao walioandika jana,hivi ni lini tutakua makini na tunachofanya.Kama mtu unadhani unachopanga kiko sahihi wacheni kuyumba yumba.
Tatizo lako umeshikiwa akili na wazushi wa mitandaoni, hicho kigezo cha leseni ya biashara ulisikia kiongozi gani wa serikali anatamka kama sio ujinga wa baadhi ya wanajukwaa kutumia fake ID kuzusha,mkishugulikiwa mnasema uhuru wa kutoa maoni unaminywa,

Hiyo unayoiona ITV ndio kauri rasmi ya serikali na ndio msimamo wa serikali hadharani,wewe endelea kuamini kila kinacholetwa jukwaani ni sahihi,mbuzi mawe we!
 
Tatizo lako umeshikiwa akili na wazushi wa mitandaoni, hicho kigezo cha leseni ya biashara ulisikia kiongozi gani wa serikali anatamka kama sio ujinga wa baadhi ya wanajukwaa kutumia fake ID kuzusha,mkishugulikiwa mnasema uhuru wa kutoa maoni unaminywa,

Hiyo unayoiona ITV ndio kauri rasmi ya serikali na ndio msimamo wa serikali hadharani,wewe endelea kuamini kila kinacholetwa jukwaani ni sahihi,mbuzi mawe we!
Bonehead
 
Tatizo lako umeshikiwa akili na wazushi wa mitandaoni, hicho kigezo cha leseni ya biashara ulisikia kiongozi gani wa serikali anatamka kama sio ujinga wa baadhi ya wanajukwaa kutumia fake ID kuzusha,mkishugulikiwa mnasema uhuru wa kutoa maoni unaminywa,

Hiyo unayoiona ITV ndio kauri rasmi ya serikali na ndio msimamo wa serikali hadharani,wewe endelea kuamini kila kinacholetwa jukwaani ni sahihi,mbuzi mawe we!

Wewe ndio hata hujui kinachoendelea.
 
Back
Top Bottom