figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
bodaboda karibia 1800 ktoka maeneo ya tegeta,mbezi beach na kawe zimefunga barabara kuelekea mwananyamala kumuona mwenzao aliye gongwa. Inasemekena aliyegogwa/dreva mwenzo kafa so wanaenda kulinda mwili usiibiwe.
Yaani ntakusa mwendelezo wa habari coz wamenikuta vibaya. wangenikuta nina pikipiki lazima ningeunga tela hadi nijue nini kinaendelea. haya ni maandamano yasio na kibari coz magari yote napisha. mi wamenipita bamaga wanguwangu mbaya.
mia
Yaani ntakusa mwendelezo wa habari coz wamenikuta vibaya. wangenikuta nina pikipiki lazima ningeunga tela hadi nijue nini kinaendelea. haya ni maandamano yasio na kibari coz magari yote napisha. mi wamenipita bamaga wanguwangu mbaya.
mia