nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,515
- 20,005
ndo matatizo yenu miafrika,kama alikuwa chain smoker tusiseme!kama fegi zimechangia kifo chake je utasemaje?wewe anakuhusuje bob makani?ndugu?jamaa au rafiki?Wakati wa msiba mzito kama huu hatutegemei mzaha! kama alikuwa anapiga fegi wewe inakuhusuje? Ndugu jamaa na marafiki wanatarajia maneno ya kuwafariji kipindi hiki kigumu! R.I.P Mwenyekiti mstaafu wa CDM!!