Rukus,
What is LGLG?
Nashukuru mkuu kwa ushauri lkn napata tabu pia kuipata hiyo ALTFanya hivi mkuu, shikilia ALTkwenye keypad ya simu yako uku ukipress LGLG pasipo kuachia itafunguka pop up windows ya event log , ingia option na press clear
Baada ya kufanya hivyo toa battery na uirudishie, kama ukifanikiwa usisite kunijulisha pia ikigoma niambie nikupe option nyingine.
ALT ni kitufe cha mwisho kabisa kwenye keypad yako upande wa kushoto chini kabisa.Nashukuru mkuu kwa ushauri lkn napata tabu pia kuipata hiyo ALT
Mimi yangu imekufa ghafla....natapata wapi fundi mzuri?
Ni touch screen model 9380ALT ni kitufe cha mwisho kabisa kwenye keypad yako upande wa kushoto chini kabisa.
Kwani mkuu bb yako ni curve model ipi?
Fanya hivi mkuu, shikilia ALTkwenye keypad ya simu yako uku ukipress LGLG pasipo kuachia itafunguka pop up windows ya event log , ingia option na press clear
Baada ya kufanya hivyo toa battery na uirudishie, kama ukifanikiwa usisite kunijulisha pia ikigoma niambie nikupe option nyingine.
i have the same problem,ngoja nijaribu nione
nimegonga mara mbili ka mlio nimekasikiaJaribu kuclear tena,ikigoma Fungua cover la simu yako kwa nyuma kwenye battery kwa juu yake kwenye lens ya camera tumia kidole cha pili ya gonga kwenye lens mara mbili utasikia kamlio flani hivi, baada ya kufanya hivyo. Chomoa betri na uirudishie then jaribu kufungua camera yako na uhakik itafanya kazi
Njia hii ni ya kuchekesha ila ndio inafanya kazi kimaajabu na hayo ndio maajabu ya BB..