Soulbrother
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 405
- 14
Washikaji leo birthday yangu lakini hiyo sio ishu, ishu ni kwamba ex wangu wa mwaka wa 99 amenipigia kunipa hongera na anataka nikachukue zawadi ambayo ameniambia laiv kuwa ni ule mchezo wa siku zote.
Tatizo ni kwamba aliniacha long time: nilikuwa nahangaika sina hili wala lile sasa mambo yangu afadhali, ananitega.
Cha kushangaza mambo yake safi zaidi na ukiangalia kitu chenyewe kimetulia utadhani gari lililotoka DT Dobie asubui.
Naoma ushauri, Do i enjoy that gift ama nitulie nikapate bia mbili jackies baadae na washikaji?
Tatizo ni kwamba aliniacha long time: nilikuwa nahangaika sina hili wala lile sasa mambo yangu afadhali, ananitega.
Cha kushangaza mambo yake safi zaidi na ukiangalia kitu chenyewe kimetulia utadhani gari lililotoka DT Dobie asubui.
Naoma ushauri, Do i enjoy that gift ama nitulie nikapate bia mbili jackies baadae na washikaji?