Filosofia ya Rorya
JF-Expert Member
- Sep 20, 2021
- 3,213
- 3,588
Nani ajuaye atupe maarifa kwanini chakula cha Biriani kinapendwa kwa Ijumaa kuliko siku zingine zote? Kina mahusiano na ibada?
Kila mgahawa unaopika Biriani lazima usisitize neno Ijumaa.
Kila mgahawa unaopika Biriani lazima usisitize neno Ijumaa.