Haya ndio yaliyopo kwenye status yake FB ikifuatiwa na shutuma kali dhidi ya Dk Slaa bila kujali maisha duni ya TZ.
Violet Mzindakaya:"Hivi DK SILAA unachoitakia hii nchi nini????haya umeona ya katiba yamekwisha sasa unamhusisha MH Rais na umiliki wa DOWANS!!!!!!!we ni mtu mzima na ulifikia mpaka hatua ya kugombea Urais ukashindwa, bado unaendelea tena na uzushi kama huna hoja kaa kimya.....TUNAKUHESHIMU SANA kama wenzio hawakwambii basi ila minakueleza unaanza kuboa sasa......."
Violet Mzindakaya:"Hivi DK SILAA unachoitakia hii nchi nini????haya umeona ya katiba yamekwisha sasa unamhusisha MH Rais na umiliki wa DOWANS!!!!!!!we ni mtu mzima na ulifikia mpaka hatua ya kugombea Urais ukashindwa, bado unaendelea tena na uzushi kama huna hoja kaa kimya.....TUNAKUHESHIMU SANA kama wenzio hawakwambii basi ila minakueleza unaanza kuboa sasa......."