Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
Wakuu niko kwenye hali ya kukataa mpaka sijui nifanye nini!
Mwaka jana nilianzisha mahusiano na dada mmoja anafanya kazi hapa Dodoma.
Huyu mpenzi wangu ana binti yake amemaliza kidato cha sita mwaka huu na amepata div.1 ya point 5, na amechqguliwa kwenda kusoma udaktari chuo fulani hapa Tanzania.
Sasa nimekuwa na tabia ya kwenda au kupita kumsalimia mpenzi wangu na kusalimia familia yake pia, kwahiyo nikienda pale lazima nimkute binti yetu huyu ambaye mimi siyo baba yake wa kumzaa.
Kuna wakati mama yake aliniomba niende naye dukani kumnunulia simu, maana alikuwa anamsumbua mama yake kwamba anataka simu kwa ajili ya kutumia.
Kwahiyo nikaenda naye dukani hapa jijini Dodoma tukanunua simu, nikamsajilia na line pia, kwahiyo akawa na namba yangu ila mimi sikuchukua yake.
Wakuu huyu binti wa mchepuko wangu ni kisu sana halafu ana rangi ya Mtume.
Mazoea yakaanza akawa ananitumia jumbe sijui 'dadii nimekumiss' uje nyumbani, mara sijui 'dadii' nitoe 'out' hata Bambalaga, yaani hekaheka nyingi wakuu.
Nikawa najaribu kumkwepa maana mamake akijua tuna ukaribu kama huo kitawaka mazee, ila sasa mazoea yakazidi, mara anambie 'dadii' napenda urefu wako na rangi yako nyeusi, nikawa najibu asante mwanangu.
Juzi wakati niko kwa mama yake, mama yake akanambia twende ndani tukaongee, tukaenda kuongeaongea. Mama akataka mzigo ikabidi nimnjunje, kumbe binti yuko mlangoni anasikia miguno ya mnjunjano jinsi mama yake anavyolalamika.
Baadaye nimetoka namwambia mwanangu naondoka amekaa kimya wala hajibu, sikujali nikaachana naye. Msichana akanisindikiza, nikasepa zangu nyumbani kwangu maana hapa Dom nakaa peke yangu, mke yuko Dar kazini pia.
Kufika nyumbani akanitumia ujumbe kwamba nimemuudhi, nikamuuliza kisa nini? Akasema kwanini sijiongezi kwake maana na yeye anataka utamu anaupata mama yake na yuko tayari aupate?
Nikamuuliza utamu gani anaoutaka kutoka kwa baba yake mimi? Daaaah! Ikabidi anambie ananipenda sana na anataka niwe namgonga pia, hataki mwanaume mwingine zaidi yangu.
Asubuhi hii kanitumia ujumbe kwamba nikitoka kazini atakuja nyumbani kwangu kuonana na mimi, na amenambia nisimwambie mama yake.
Wakuu nafanyaje kumuepuka huyu binti? Nawaza akikolea kwangu na mpenzi wangu kwa maana ya mama hake akijua itakuwa noma sana.
Nipeni ushauri wakuu wa MMU.
Mwaka jana nilianzisha mahusiano na dada mmoja anafanya kazi hapa Dodoma.
Huyu mpenzi wangu ana binti yake amemaliza kidato cha sita mwaka huu na amepata div.1 ya point 5, na amechqguliwa kwenda kusoma udaktari chuo fulani hapa Tanzania.
Sasa nimekuwa na tabia ya kwenda au kupita kumsalimia mpenzi wangu na kusalimia familia yake pia, kwahiyo nikienda pale lazima nimkute binti yetu huyu ambaye mimi siyo baba yake wa kumzaa.
Kuna wakati mama yake aliniomba niende naye dukani kumnunulia simu, maana alikuwa anamsumbua mama yake kwamba anataka simu kwa ajili ya kutumia.
Kwahiyo nikaenda naye dukani hapa jijini Dodoma tukanunua simu, nikamsajilia na line pia, kwahiyo akawa na namba yangu ila mimi sikuchukua yake.
Wakuu huyu binti wa mchepuko wangu ni kisu sana halafu ana rangi ya Mtume.
Mazoea yakaanza akawa ananitumia jumbe sijui 'dadii nimekumiss' uje nyumbani, mara sijui 'dadii' nitoe 'out' hata Bambalaga, yaani hekaheka nyingi wakuu.
Nikawa najaribu kumkwepa maana mamake akijua tuna ukaribu kama huo kitawaka mazee, ila sasa mazoea yakazidi, mara anambie 'dadii' napenda urefu wako na rangi yako nyeusi, nikawa najibu asante mwanangu.
Juzi wakati niko kwa mama yake, mama yake akanambia twende ndani tukaongee, tukaenda kuongeaongea. Mama akataka mzigo ikabidi nimnjunje, kumbe binti yuko mlangoni anasikia miguno ya mnjunjano jinsi mama yake anavyolalamika.
Baadaye nimetoka namwambia mwanangu naondoka amekaa kimya wala hajibu, sikujali nikaachana naye. Msichana akanisindikiza, nikasepa zangu nyumbani kwangu maana hapa Dom nakaa peke yangu, mke yuko Dar kazini pia.
Kufika nyumbani akanitumia ujumbe kwamba nimemuudhi, nikamuuliza kisa nini? Akasema kwanini sijiongezi kwake maana na yeye anataka utamu anaupata mama yake na yuko tayari aupate?
Nikamuuliza utamu gani anaoutaka kutoka kwa baba yake mimi? Daaaah! Ikabidi anambie ananipenda sana na anataka niwe namgonga pia, hataki mwanaume mwingine zaidi yangu.
Asubuhi hii kanitumia ujumbe kwamba nikitoka kazini atakuja nyumbani kwangu kuonana na mimi, na amenambia nisimwambie mama yake.
Wakuu nafanyaje kumuepuka huyu binti? Nawaza akikolea kwangu na mpenzi wangu kwa maana ya mama hake akijua itakuwa noma sana.
Nipeni ushauri wakuu wa MMU.