GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Anauza duka la vifaa vya Kompyuta maeneo ya posta, nilienda kununua External Hard-disk. Wakati ananipatia akaniminya kidogo kiganja cha mkono wangu
Nilisisimka si mchezo, Halafu yule mh... maana umbo lake si flat kama wahindi wengi tunaowaona Bongo. Sijui nianzie wapi maana zoezi la kwanza lilikuwa kumuondoa mawazoni imeshindikana........
Yule akicheka kuna vishimo vile kwenye mashavu sijui vinaitwaje............ Ni mpole hana dharau. Yaani haki ya Mungu nampenda yule dada. Nakosa raha maana naona ni kina kirefu sijui kama nitaweza kupiga mbizi
Jamani mwenye mistari ya kuingilia kwa Muhindi niko tayari hata kumlipa.
Nilisisimka si mchezo, Halafu yule mh... maana umbo lake si flat kama wahindi wengi tunaowaona Bongo. Sijui nianzie wapi maana zoezi la kwanza lilikuwa kumuondoa mawazoni imeshindikana........
Yule akicheka kuna vishimo vile kwenye mashavu sijui vinaitwaje............ Ni mpole hana dharau. Yaani haki ya Mungu nampenda yule dada. Nakosa raha maana naona ni kina kirefu sijui kama nitaweza kupiga mbizi
Jamani mwenye mistari ya kuingilia kwa Muhindi niko tayari hata kumlipa.