sosoliso
JF-Expert Member
- May 6, 2009
- 8,539
- 9,462
Wanatunga hadi wanajidanganya hisia zao wenyewe.
Kuna mmoja naye kule anasema anaskia sauti ya kuwa mfia familia, wenzao zamani walifia dini, yeye anataka kujinyonga ili afe kwa ajili ya familia, sijui kwa faida gani? Na hata hana hela ya kuandaa msiba wake wenyewe, kuwatia tu hasara za wali wa msiba wazazi.
Ha ha ha ha lol.. Hii ni zaid ya mahoka.. Sasa ni kwamba wako kwenye mazoezi ya kuongopa au kuwa watunzi wa riwaya..? Maana ni ujinga kuleta habari ya kutunga hapa jukwaani.. Members wengi wanapenda kusaidiana kwa njia ya kupeana ushauri hapa so anapokuja mjinga mmoja na stori ya kutunga hawatendei haki members wote hapa jukwaani..