Binti huyu kituko

Stendi kuu ama soko kuu wewe? Nje ya kihotel flani kilikuwa na sambusa msisimko along hiyo barabara inaenda kutokea jogoo house.

wale kahawa zao niliambiwa wanachanganya na mavi ya mbuzi nikaziacha. Mie naroast mwenyewe hehehe

Ndio hapo hapo soko kuu, ile barabara inayoelekea Bondeni Sec (sijui kama hii shule bado ipo) tokea huku Jogoo...

Hahahah...eti wanamix na mavi ya mbuzi loh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom