Kawalala93
JF-Expert Member
- Mar 24, 2015
- 400
- 1,587
Wewe tuma pesa si amesha kukubalia unataka izo pesa akamuombe nani??
Kuna binti enzi za o-level nilimfukuzia kumpata kwa bahati mbaya sikuweza kupata chance hata ya kuongea nae...Kwa bahati fulani ivi binti alichaguliwa kujiunga O-level form one kipindi kile 2012...wakati anajiunga mimi ndo nilikiwa namaliza Form 4,,, basi bwana kwa bahati mbaya sikuweza kupata ukaribu wake wakati huo...japo yeye alikuwa hanifahamu ila mimi ndo nilikuwa namjua..
Mwaka..2017 kwny pita pita za Facebook..nikaweza kupata mawasiliano yake,tukawa tunachati Fb...nikaamua kumfungukia kuwa nilimpenda sana tangu way back miaka hiyo ya 2012 mpaka sasa bado nampenda..tukabadilishana namba za Whatsapp ,tukaanza kuchati kupitia huko...Tatizo binti hanifahamu mimi zaidi ya kuona picha zangu tu za Facebook ila mimi namfahamu..
Baada ya hapo binti kanikubalia tukawa wapenzi japo hajawai kuniona uso kwa uso...
KINACHONISHANGAZA...
Binti anaanza kuniomba PESA eti nimsaidie ana shida...
SWALI LANGU...
..SASA BINTI ATAWEZAJE KUNIOMBA PESA WAKATI HATUJAONANA?
Si zitakuwa dalili za Mizinga hizi?[/QUOTE
mwambie mfanye barter trade, no free lunch
Kuingizwa mjini ni kupenda, akili Ya kuambiwa changanya na yako. Usiangalie hasara angalia na faida Pia. Mapenzi sio pesa ila Bila pesa hayaendi.Na ww toa ushauri nisije nikaingizwa mjini
Hata wale wanaohongaga sio kwamba hawana wazazi kila Mtu Ana nafasi yake kwakoWadada wengi wa cku hizi wanapenda sana mizinga, mimi ndo wakiniambia tu “baby nikuambie kitu " hapohapo nakata simu na kuzima. Ngoja kwanza hizo buku tano nimlishe mama angu aliyenisomesha kwa shida na taabu.
AsanteMaswali mengine, nyie wanaume mnajitia aibu.
Kwani kafanya kosa, wewe si mpenzi wake au? Unataka upate tunda ndio useme wako?
Kingine jua kuwa haumfajamu hata tabia (hilo lingine).
Muwe mnajiongeza jamani, baadae mkizidiwa akili mnajua kulalamika kama kihivi. Mpe pesa kwani unafikiri data ya kumshindisha mnachati unataka akawaombe wazazi wake? Na si ni mwanafunzi au leo hujui...
Mkijiendekeza na kusoma ya humu na kuyaweka maishani, mtakosa wake wema.
Kila nyasi mjini zinamwagiliwaNdo maana umekaa kmya mda mrefu wee umezoea vyeupe achana na vyekundu braza vitakuchafua
Nakushauri ujikite zaidi kwenye masomo ili vyeti vyako visije kukuletea shida baadae!Na ww toa ushauri nisije nikaingizwa mjini
Sawa, ila nafanya kile ambacho kinamanufaa kwangu, sioni faida ya kuonga mkuu.Hata wale wanaohongaga sio kwamba hawana wazazi kila Mtu Ana nafasi yake kwako
Halafu eti anaita wayback 2012O level umemaliza 2012.. Kuna haja jamii forums kuandaa jukwaa la watoto
Kila la kheri mkuuSawa, ila nafanya kile ambacho kinamanufaa kwangu, sioni faida ya kuonga mkuu.
Mkuu kwako n uyu mkuu nae ni mwenzao?Wenzako ndo wanaibiwaga kwa staili hiyohiyo................
Nh mmmmm mmmmm mmmmm mmmmm mmmmm mmmmm ni shdaaaahhMaswali mengine, nyie wanaume mnajitia aibu.
Kwani kafanya kosa, wewe si mpenzi wake au? Unataka upate tunda ndio useme wako?
Kingine jua kuwa haumfajamu hata tabia (hilo lingine).
Muwe mnajiongeza jamani, baadae mkizidiwa akili mnajua kulalamika kama kihivi. Mpe pesa kwani unafikiri data ya kumshindisha mnachati unataka akawaombe wazazi wake? Na si ni mwanafunzi au leo hujui...
Mkijiendekeza na kusoma ya humu na kuyaweka maishani, mtakosa wake wema.
Kwel mkuu... Na tunavojisahaug sasaWadada wengi wa cku hizi wanapenda sana mizinga, mimi ndo wakiniambia tu “baby nikuambie kitu " hapohapo nakata simu na kuzima. Ngoja kwanza hizo buku tano nimlishe mama angu aliyenisomesha kwa shida na taabu.