Binti ananitishia kunifanya ndondocha

Michewen

JF-Expert Member
Jun 27, 2012
24,728
32,519
Nimebahatika kupata binti mrembo wa Kiarabu kiukweli ananipa mapenzi moto moto/miuno ya kufa mtu lakini sasa kila wiki anadai anaenda kwa Mganga wa kienyeji ili watusomee dua ya kutufanya mambo yetu yawe mazuri.

Daah nimejitahidi kumshauri aachane na hayo mambo lakini hanisikilizi. Sasa ametishia kama naendelea kumzingua atamuambia mganga niwe Ndondocha daah!

Nataka nimmwage lakini namwachaje aisee!
 
secrete

Mkuu akufanye ndondocha mara ngapi? Hapo tu tayari ndondocha funguka mkuu.


Swissme
 
Last edited by a moderator:
Hao watu wa Asia ni hatari, mi nna kikaka changu cha bangladeshi kinavyonitishaga ukimpa mtu mi ntamfanya hamna, ukitongozwa tu kinakuambia babyy your chating with somebody i dont like stop please. :sly::D:what:
 
Usiumie kichwa wanawake kwa asili hawapendi kupuuzwa wewe jidai hutambui uwepo wake maishani mwako
 
hao watu wa asia ni hatari, mi nna kikaka changu cha bangladeshi kinavyonitishaga ukimpa mtu mi ntamfanya hamna, ukitongozwa tu kinakuambia babyy your chating with somebody i dont like stop please. :sly::D:what:
Huwa huwashwi pilipili?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom