SautiYaMnyonge
JF-Expert Member
- May 13, 2018
- 439
- 742
Binamu Bananga ni Diwani wa zamani wa Sombetini Arusha kupitia CHADEMA.
1. Viongozi wa Kanda ya Pwani wameshindwa kushawishi Wanachama kujitokeza kwa wingi Mahakamani, ushawishi wa mitandaoni umeshindwa kufanya kazi, Wito aliotoa RPC umekuwa na nguvu, kwa maandalizi tuiliyofanya sijutegemea idadi ndogo ya watu kiasi kile pale Mahakamani, Kesi ya Mdude tuliweza kujaza Mahakama lakini hii ya mwenyekiti tumetia aibu.
2. Kwa upande wa mahojiano, aliyeandaa anastahili pongezi, tumefanikiwa, ingawaje tulilipa watu 20 wa kuhojiwa na 40 wa kubeba mabango lakini waliofika wakikuwa wachache, hakuna aliyefahamu kama walilipwa lakini kesho kuwe na value for money, wote watakaolipwa usiku huu, wafike, na tuboreshe mapungufu machache kwenye setup, tuhakikishe vyombo vyote vya habari vinakuwepo.
3. Mama tuliyempanga ajitambulishe kama Mama mlezi wa Mbowe, na kusema ametoka Hai, ni mama n'tilie pale Mkwajuni. Tunajua kabisa pale Mkwajuni ndio zilipo ofisi za CCM kinondoni lakini bado tukamtumia mtu wa maeneo yale, Aliyepanga hilo kama ni kiongozi awajibishwe. Amekiabisha chama.
4. Najua tulilenga kufikisha ujumbe, lakini kwanini tuliruhusu Mabango yaandikwe na mtu mmoja na uumbaji wa herufi kufanana? Tunapoteza credibility kwa Wananchi, na kwanini tupange watu sehemu moja, kwanini hatukufikiria kwamba haiwezekani watu 10 wenye mabango kujipanga mstari mmoja kama hawakupewa maelekezo. Naumiabkuonwa tunavyosemwa mitandaoni kwa kusgindwa kupanga vizuri.
5. Tunategemea matukio na propaganda kuliko kujenga Chama kwenye misingi, Tukiendelea na Siasa za aina hii Chama kitakufa, Tulikuwa na Wabunge wengi Dar 2015 - 20 lakini leo tumekosa hata Wananchi 200 wa kutuunga mkono pale Kisutu, hii wake up call kwetu, sidhani kama ACT wangekosa watu.
6. Mtaani imejengeka Taswira kwamba Viongozi walipanga kutoa kafara wanachama, walihamasisha kwenda wanachama waende Mahakani, halafu wao wakabaki majumbani kunywa juice bariid, mambo yote wamefuatilia Twita. Waliofika Mahakamani hawakuzidi watatu. Kesho viongozi tuwepo.
7. Chama kiwe na msimano thabiti, tulisema mwanachama wetu akikamatwa hatutasumbuka kumdhamini, lakini bado tumeshawishi wanachama kwenda mahakamani (ingaswaje wamegoma) na Kibatala amesikika pale akiahidi kuwatoa kwa dhamana Wanachama wale jamaa waliokamatwa baada ya kukaidi maagizo ya polisi. Tumesahau msimamo wetu?
8. Tukiendelea kuamini tutawashinda CCM kwa kushinda Twita, tutakufa tukiwa wapinzani, tujenge Chama Uraiani, confidence ya Wananchi mitandaoni isitudanganye, kwa ground mambo ni tofauti, Au kuna aliyewaona wale wanaotweet na kuretweet sana?
9. Bila Mbowe chama chetu hakina tofauti na kikundi cha watoto wa 'Sunday School', matamko yanaandikwa pale Triple 7 - Bar, yanatoka muda wowote hata usiku wa manane, mepesi, hayana uzito, sio yale matamko ya CHADEMA tuliyozoea, ndio maana wananchi wameyapuuza kwa kutokuja Mahakamani.
1. Viongozi wa Kanda ya Pwani wameshindwa kushawishi Wanachama kujitokeza kwa wingi Mahakamani, ushawishi wa mitandaoni umeshindwa kufanya kazi, Wito aliotoa RPC umekuwa na nguvu, kwa maandalizi tuiliyofanya sijutegemea idadi ndogo ya watu kiasi kile pale Mahakamani, Kesi ya Mdude tuliweza kujaza Mahakama lakini hii ya mwenyekiti tumetia aibu.
2. Kwa upande wa mahojiano, aliyeandaa anastahili pongezi, tumefanikiwa, ingawaje tulilipa watu 20 wa kuhojiwa na 40 wa kubeba mabango lakini waliofika wakikuwa wachache, hakuna aliyefahamu kama walilipwa lakini kesho kuwe na value for money, wote watakaolipwa usiku huu, wafike, na tuboreshe mapungufu machache kwenye setup, tuhakikishe vyombo vyote vya habari vinakuwepo.
3. Mama tuliyempanga ajitambulishe kama Mama mlezi wa Mbowe, na kusema ametoka Hai, ni mama n'tilie pale Mkwajuni. Tunajua kabisa pale Mkwajuni ndio zilipo ofisi za CCM kinondoni lakini bado tukamtumia mtu wa maeneo yale, Aliyepanga hilo kama ni kiongozi awajibishwe. Amekiabisha chama.
4. Najua tulilenga kufikisha ujumbe, lakini kwanini tuliruhusu Mabango yaandikwe na mtu mmoja na uumbaji wa herufi kufanana? Tunapoteza credibility kwa Wananchi, na kwanini tupange watu sehemu moja, kwanini hatukufikiria kwamba haiwezekani watu 10 wenye mabango kujipanga mstari mmoja kama hawakupewa maelekezo. Naumiabkuonwa tunavyosemwa mitandaoni kwa kusgindwa kupanga vizuri.
5. Tunategemea matukio na propaganda kuliko kujenga Chama kwenye misingi, Tukiendelea na Siasa za aina hii Chama kitakufa, Tulikuwa na Wabunge wengi Dar 2015 - 20 lakini leo tumekosa hata Wananchi 200 wa kutuunga mkono pale Kisutu, hii wake up call kwetu, sidhani kama ACT wangekosa watu.
6. Mtaani imejengeka Taswira kwamba Viongozi walipanga kutoa kafara wanachama, walihamasisha kwenda wanachama waende Mahakani, halafu wao wakabaki majumbani kunywa juice bariid, mambo yote wamefuatilia Twita. Waliofika Mahakamani hawakuzidi watatu. Kesho viongozi tuwepo.
7. Chama kiwe na msimano thabiti, tulisema mwanachama wetu akikamatwa hatutasumbuka kumdhamini, lakini bado tumeshawishi wanachama kwenda mahakamani (ingaswaje wamegoma) na Kibatala amesikika pale akiahidi kuwatoa kwa dhamana Wanachama wale jamaa waliokamatwa baada ya kukaidi maagizo ya polisi. Tumesahau msimamo wetu?
8. Tukiendelea kuamini tutawashinda CCM kwa kushinda Twita, tutakufa tukiwa wapinzani, tujenge Chama Uraiani, confidence ya Wananchi mitandaoni isitudanganye, kwa ground mambo ni tofauti, Au kuna aliyewaona wale wanaotweet na kuretweet sana?
9. Bila Mbowe chama chetu hakina tofauti na kikundi cha watoto wa 'Sunday School', matamko yanaandikwa pale Triple 7 - Bar, yanatoka muda wowote hata usiku wa manane, mepesi, hayana uzito, sio yale matamko ya CHADEMA tuliyozoea, ndio maana wananchi wameyapuuza kwa kutokuja Mahakamani.
10. Kuna haja ya kuanzisha madarasa ya Itikadi, kwenye hili tumuige polepole, tumekuwa Chama cha Matukio na kuchambua hotuba za CCM, Mipango yetu haifiki Mwisho, leo tunakuja na Sera Mbadala, kesho inakufa, tunakuja na CHADEMA ni msingi, mara Katiba Mpya, ni kama tunaongozwa na matukio, hatuna Itikadi inayotuongoza.