Avanti
JF-Expert Member
- Aug 24, 2010
- 1,209
- 239
Usemi huu umenichekesha sana.
Kwa kuwa nilikuwa banned eti kwa kutoa lugha ya matusi basi nafarijika kurudi tena hewani, ila tu nimenyimwa sana nafasi ya kuchangia uozo alioufanya homomate wangu Kitila Mkumbo kwenda kumtukana bwana mdogo Mwigulu kule kwao.
Dr ukweli kakosea na hadhi (tena hivi juzi kapewa nafasi ya U-dean) yake hakupaswa kuanza kuingia kwenye ligi na Mwigulu ambaye anamzidi kwa kila kitu. Nilimwona juzi kwenye gazeti la Mwananchi akiwa mtulivu kweli kwenye benchi la mahakama ya Singida.
Ukweli wakati mwingine hata tukiwa tumemeelimika sana twapaswa kutumia vichwa vyetu kufikiri kwa urahisi tu na wala tusitumie vichwa vyetu kwa kutunzia nywele tu hadi kutuletekeza kutukana hata wale ambao tunawazidi kwa kila kitu.
Kwa kuwa nilikuwa banned eti kwa kutoa lugha ya matusi basi nafarijika kurudi tena hewani, ila tu nimenyimwa sana nafasi ya kuchangia uozo alioufanya homomate wangu Kitila Mkumbo kwenda kumtukana bwana mdogo Mwigulu kule kwao.
Dr ukweli kakosea na hadhi (tena hivi juzi kapewa nafasi ya U-dean) yake hakupaswa kuanza kuingia kwenye ligi na Mwigulu ambaye anamzidi kwa kila kitu. Nilimwona juzi kwenye gazeti la Mwananchi akiwa mtulivu kweli kwenye benchi la mahakama ya Singida.
Ukweli wakati mwingine hata tukiwa tumemeelimika sana twapaswa kutumia vichwa vyetu kufikiri kwa urahisi tu na wala tusitumie vichwa vyetu kwa kutunzia nywele tu hadi kutuletekeza kutukana hata wale ambao tunawazidi kwa kila kitu.