HEY Do u know who is in front of that bill or u r just interested on the dollar bill, dont copy what people do ...this world is too big . IN GOD WE TRUST thats what is writen on the back of the dollar bill,,,, do u know which GOD is ment?Mi SIJASEMA MWENZIO
Habari hizi si za kweli hata kidogo waandishi wa habari aacheni kupotosha umma wizi upo ila sio billion 300 hazifiki hata billion 20. Na hili lakusingizia pia uchaguzi si kweli ni watu na tamaa zao tu. Penye ukweli tuseme. Na kama mtu hana data kuhusu kitu sio vizuri kuandika chunguza kwanza upate data kamili.
Hivi ukijumlisha core capital ya mabenki yaliyotajwa kuibiwa ni sh ngapi vile? na kama mabenki yameibiwa hizo fedha yanajiendeshaje.