Bila milioni mbili 'simvuli'i mwanaume chupi na sijaona mwanaume wa 'kutemebea' na mimi mji huu!

Kwa hiyo hela tena manyara lol. bongo kwenyewe wa kutoa huo mkwanja awe fisadi mwasirika na atakuburuza kote kote.
 
Hii maneno imetamkwa na dada mmoja wa kihaya aliyeajiriwa karibuni
ktk ofisi ya serikali, wilaya moja mkoani Manyara. Ajabu kayatamka
haya maneno mbele ya wanaume watumishi wenzake wakati akipata
chai kwenye mgahawa mmoja. Vidume wakataka kujua jeuri ya
hii maneno inatoka wapi haswa ukizingatia kuwa mshara wake
ni TGS D-watumishi wa umma mnaweza mkajua hako ka-salary
kalikompa hiyo jeuri.

Hadi sasa, list kama ya watumishi 6 (wa idara ya uhasibu) tayari
wameshampanda. Uzuri ni kwamba kauli sasa imegeuka na
kuwa 'aaaggrr wanaume wa hapa wote ni washenzi tu'.
Kwa mshahara wa TGS D, wengi tulikuwa tukijiuliza 'tuone ataishije' mjini
hasa kutokana na jeuri yake aloionyesha kwa wanaume.

Ujanja waloutumia wanaume walompanda, ni kuchelewesha malipo
ya madai yake kila alipoyaleta na kuhakikisha muda wote haendi safari
za nje kikazi kwa muda kama wa miezi 6. Alipokuwa akilalamika njaa,
ndipo wakware walipotuma maombi na kukubaliwa kiurahisi. Mbaya
zaidi kila mwanaume alipokuwa akienda 'kumla uroda' alihakikisha anawaambia
wanaume wenzake waje kwenye Guest husika ili wakati wanatoka
hao washikaji wawashuhudie.

My take:Kina dada warembo, chungeni sana kauli za kujisifia mbele za wanaume
Wanaume wana njia nyingi sana za kuweza kukupotezea heshima mbele
ya jamii.



Inawezekana alikuwa na shida ya milioni mbili,kwa jinsi alivyowaambia hivyo hao sita kama wote wame mface bila shaka wametoa minimum 500,000 kila mmoja au average 500,000 kila mmoja kwa sababu kwa gia aliyoingia nayo inakuwa aibu kumwambia nina 100,000..sasa ukizidisha mara 6 ni milioni 3 hivyo lengo lake limetimia.
 
halafu unatuwekea thread hapa kwa kujisifia kwa upuuzi mliofanya... mlipata nini after that...! mbona wako wanaume kutwa kujisifia kwa upumbavu wakati hawana lolote, mbona sie tusiwafanyizie...


See....stupidity to the maximum!!! Wanaume mia mwagombea penzi la mdada mmoja mpaka mwafikia kukusanya akili zenu ili mumnyasenyase kwa kumnyongea safari za nje......hiyo ni AKILI MATOPE?? Alafu kwa kufanya hivyo mnafaidika nini hata mjisifie? Na nyie mmeacha kabisa wake nyumbani/wapenzi eti mwaenda kazini.........ptuuuuuuuu...kichefuchefu!!!!!
 
Umenikumbusha mwanamke mmoja wa kichaga aliyesema "Yesuuu kama huna 30,000 siendi kukupa..." muda si mrefu wanaume watatu wamempitia bila hata ya kumpa kiasi hicho na hivi sasa anakamatie ile kishenzi watu tunamkwepa.
 
interesting..........mwambie aje mi ntajazia hiyo pungufu bureee bila kugusa
 
ndyoko .............Kaka ina maana hata wewe ulimega......................?
 
Last edited by a moderator:
Ningekuwa na uwezo ningeipiga maruruku hii biashara.Lakini bahati mbaya biashara hii ndio biashara ya zamani kushinda biashara zote,kinachobadilika hapa ni jinsi tu muuzaji anavyokuwa mbunifu wa kutangaza biashara yake bila ya mnunuzi kuelewa,maana kwa situation hiyo ni wazi kabisa mshindi ni huyo dada aliyeweza kuvutia wateja bila ya wateja kujua kuwa walikuwa wakitangaziwa biashara.Next time akitokea wa hivyo muwe makini na msisahau kujikinga,hamjui huko alikokuwa aliwarubuni wangapi kwa njia hiyo.

Yan kama umeotea! mwaka jana alikua hapa Bihalamulo na hicho ndo kisa cha kuhamishwa. hata hapa aliwapanga wavivu wa kufikri kibao, hapa alitangaza 1.5m, basi aliwakamata kinoma. Kumbe na Manyara kala kichwa? Kweli dada huyu ni MJASIRIAMALI HODARI! HONGERA GRACE!
 
Hii maneno imetamkwa na dada mmoja wa kihaya aliyeajiriwa karibuni
ktk ofisi ya serikali, wilaya moja mkoani Manyara. Ajabu kayatamka
haya maneno mbele ya wanaume watumishi wenzake wakati akipata
chai kwenye mgahawa mmoja. Vidume wakataka kujua jeuri ya
hii maneno inatoka wapi haswa ukizingatia kuwa mshara wake
ni TGS D-watumishi wa umma mnaweza mkajua hako ka-salary
kalikompa hiyo jeuri.

Hadi sasa, list kama ya watumishi 6 (wa idara ya uhasibu) tayari
wameshampanda. Uzuri ni kwamba kauli sasa imegeuka na
kuwa 'aaaggrr wanaume wa hapa wote ni washenzi tu'.
Kwa mshahara wa TGS D, wengi tulikuwa tukijiuliza 'tuone ataishije' mjini
hasa kutokana na jeuri yake aloionyesha kwa wanaume.

Ujanja waloutumia wanaume walompanda, ni kuchelewesha malipo
ya madai yake kila alipoyaleta na kuhakikisha muda wote haendi safari
za nje kikazi kwa muda kama wa miezi 6. Alipokuwa akilalamika njaa,
ndipo wakware walipotuma maombi na kukubaliwa kiurahisi. Mbaya
zaidi kila mwanaume alipokuwa akienda 'kumla uroda' alihakikisha anawaambia
wanaume wenzake waje kwenye Guest husika ili wakati wanatoka
hao washikaji wawashuhudie.

My take:Kina dada warembo, chungeni sana kauli za kujisifia mbele za wanaume
Wanaume wana njia nyingi sana za kuweza kukupotezea heshima mbele
ya jamii.



biashara matangazo bana. Mkumbuke marehemu mr Yebo alichoimba kitu cha 1000 unanunua sh 100
 
halafu unatuwekea thread hapa kwa kujisifia kwa upuuzi mliofanya... mlipata nini after that...! mbona wako wanaume kutwa kujisifia kwa upumbavu wakati hawana lolote, mbona sie tusiwafanyizie...

We mpumbavu kweli, wapi nimesema na mimi nilishiriki? Mjinga mkubwa kweli wewe!
 
ndyoko .............Kaka ina maana hata wewe ulimega......................?

Jamani wapi nimesema na mimi nimemega? Nimeleta kisa ambacho dada ametuambia wakati tunapata chai kwa mgahawa. Ila nashangaa baadhi ya watu wansema na mimi nilikula mzigo, sijui wapi nimelisema hilo la mimi kushiriki kula mzigo. Hebu ngoja nirudie kusoma uzi wenyewe!
 
Unadhani itakuwa ni tukio la kwanza kupelekwa mahakamani ndugu!

Mkuu, mshukuru Mungu nchi yetu haiko serious kufatilia mambo ya sheria kwa karibu sana, nchi za wenzetu hata kumwangalia mwanamke/msichana kwa muda mrefu unashtakiwa kwa udhalilishaji wa kijinsia unafungiliwa mbali. Nakushauri wakati mwingine uwe mwagalifu SANA.
 
hao wanaume hawapokei tgs d?
Na walipokuwa wanachelewesha cheki hakuna mkurugenzi akaripoti?
Cheki gani ya kucheleweshwa miezi 6? Si itaisha muda?
Huyo binti yupo kitengo cha uhasibu? Na inakuwaje uhasibu wacheleweshe kutoa cheki wakati imepitishwa na mwenye kitengo?
Hapo manyara hakuna wakaguzi wa ndani? Hawakagui hayo malipo? Hawahoji hizo cheki 'zinazocheleweshwa' miezi 6 ilhali muhusika yupo?
Au unataka kusema vitengo vyote vimeshirikiana?

Kuna walakini hapa.....
 
Back
Top Bottom