demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,250
- 15,116
Kuna ule msemo kuwa Chama ni mchezaji wa mechi ndogo, leo umeanza kuniingia kichwani. Inafika kipindi unawaza, hivi huenda labda kwenye mechi hizi za Ligi huwa hawatumii Uchawi ndio maana Chama anaonekana wa kawaida.
Kwenye mechi kama hizi mchezaji tegemeo wa timu ndipo unapaswa kutokea na kuibeba timu kwa uwezo wako binafsi. Sio kungoja mpaka mechi ifanyike kwa Mkapa ndio unafanya vizuri.
Binafsi bado nitaendelea kumuweka PACOME juu ya CHAMA kwasababu ndogo ndogo kama hizi.
Mchezaji mzuri huwa anakuwa na consistace isiyo na shaka.
Mchezaji mzuri hachagui uwanja wa kufanya vizuri.
Nina shaka. Huenda Juju zinam-boost jamaa katika baadhi ya mechi hata kuwafanya watu wa Simba kuomini kuwa yule ndio mfalme wao.
Kwenye mechi kama hizi mchezaji tegemeo wa timu ndipo unapaswa kutokea na kuibeba timu kwa uwezo wako binafsi. Sio kungoja mpaka mechi ifanyike kwa Mkapa ndio unafanya vizuri.
Binafsi bado nitaendelea kumuweka PACOME juu ya CHAMA kwasababu ndogo ndogo kama hizi.
Mchezaji mzuri huwa anakuwa na consistace isiyo na shaka.
Mchezaji mzuri hachagui uwanja wa kufanya vizuri.
Nina shaka. Huenda Juju zinam-boost jamaa katika baadhi ya mechi hata kuwafanya watu wa Simba kuomini kuwa yule ndio mfalme wao.