Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,456
- 79,780
Maji ya ya kutoka wapi ndo yanaenda huko?
Maji ya ya kutoka wapi ndo yanaenda huko?
Issue ni energy mix solar ni percent ngapi ya wanachozalisha ? Umeme tuseme ni kama maji yanatoka kwenye mpira kwahio yakitoka ni either unayatumia kwa wakati huo (kuoga au kumwagilizia) au kuyatunza kwenye ndoo.., Sasa issue ni hapo kwenye utunzani (kama tukirely percent kubwa kwenye solar na upepo inamaanisha tuwe na ndoo za kutosha za kutunza ili usiku wakati hakuna jua tuweze kutumia ule tuliotengeneza mchana... Battery za Lithium ni expensive ingawa ni efficient; kwa watu kuona hilo ndio maana sasa hivi watu wanaangalia option nyingine za battery hio mfano mechanical (kunyanyua vitu vizito au cranes kwenye mashimo ya caves na old mines wakati wa jua linawaka au umeme unatengenezwa ili kutunza umeme huo) hii ni very inefficient..., au storage kwenye hydrogen cells (storage hydrogen bado not as efficient) au kwa kutumia new materials carbon graphene (hii bado ipo kwenye uchunguzi ingawa ni promising)Bado sijapata hoja yako vizuri ndugu ingawa unaonekana unayo.
Hiyo storage concern issue yake ni nini hasa? Umeme wa Solar si unazalishwa kila siku?
Hizo nchi za Uarabuni mbona hatusikii iyo unayosema storage concern?
Upo sahihi...kwa kuongezea, maji yanayoenda Nyerere ndiyo hayo hayo yanapita na vyanzo vingine kule juu: kihansi, kidatu na mtera...chukua ramani na uangalie flow ya ile mito...they depend on each other!Hii ni fedhea. Haiwezekani karne hii ya 21 tuna wasomi na viongozi tunaoamini wana exposure ila wanaishia kuhubiri umeme wa maji tu. Ni kielelezo kuwa tuna shida kwenye bongo zetu
Tulete wazungu waendeshe...sisi hata maji yametushinda kusambaza hatuna uwezo wala umakini wa kusimamia nuclear power plants...elimu ya mzungu haijatusaidia zaidi ya kuzalisha wezi na wajinga kama anavyosema Msukuma kule mjengoni!Hii ni hoja ya msingi sana,maeneo kama Singida na Dodoma jua linawaka mwaka mzima,lakini tunawaza Nishati za kale ambazo hazina uhakika kwa siku za usoni.
Ila kwenye Nuclear plants hapo Mzee namna ya kutunza bila kuathiri binadamau,maana watumishi wa Shirika letu kwa uzembe hawajambo.
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Hapo umeeleweka.Issue ni energy mix solar ni percent ngapi ya wanachozalisha ? Umeme tuseme ni kama maji yanatoka kwenye mpira kwahio yakitoka ni either unayatumia kwa wakati huo (kuoga au kumwagilizia) au kuyatunza kwenye ndoo.., Sasa issue ni hapo kwenye utunzani (kama tukirely percent kubwa kwenye solar na upepo inamaanisha tuwe na ndoo za kutosha za kutunza ili usiku wakati hakuna jua tuweze kutumia ule tuliotengeneza mchana... Battery za Lithium ni expensive ingawa ni efficient; kwa watu kuona hilo ndio maana sasa hivi watu wanaangalia option nyingine za battery hio mfano mechanical (kunyanyua vitu vizito au cranes kwenye mashimo ya caves na old mines wakati wa jua linawaka au umeme unatengenezwa ili kutunza umeme huo) hii ni very inefficient..., au storage kwenye hydrogen cells (storage hydrogen bado not as efficient) au kwa kutumia new materials carbon graphene (hii bado ipo kwenye uchunguzi ingawa ni promising)
Kwahio the most efficient large scale battery to date ni HEP (Hydro Electric Power Plants) kama Bwawa la Nyerere.., Umeme wa jua ukizalishwa mchana au upepo ukivuma unawekwa kwenye Grid na offpeak times unatumika kupump maji kutoka reservoir ya chini na kuyarudisha juu ili ikifika usiku au peak time same maji yanaachiwa tena ili kuzalisha umeme...
Bila hivyo huenda tukahitaji kununua Battery za kuweza kuhifadhi ma-Mega Watts ya Umeme jambo ambalo at current technology is not an easy feat...; au tuhakikishe mchana tunatumia solar pekee alafu usiku another option jambo ambalo kwa GRID kucheza na hizo hesabu is not practical...
Ndio maana nikasema whatever we do kwa infrastructure yetu Bwawa linaweza likatumika kama kiungo cha kumfanya kila Mtanzania kuwa Mzalishaji wa Umeme kwenye Paa lake la Nyumba
Na hapo ndipo penye mzizi wa matatizo...hii ni loophole ya kuiba hela walipa kodi wa tanganyika!Wenzako huu mgao ni fursa nzuri haswa
Ndiyo hivyo mkuuNa hapo ndipo penye mzizi wa matatizo...hii ni loophole ya kuiba hela walipa kodi wa tanganyika!
Hapana. Tuna upungufu wa umeme. Nimepita njia ya mtera mara kadhaa miezi 3 mfululizo. Ukipita unaona kabisa hapa kuna shida bila hata kuambiwa.Tatizo letu kwenye suala la umeme kama nchi wala sio upungufu wa umeme bali uongozi unaosimamia taasisi husika, wafanyabiashara wahuni pamoja na wanasiasa wasio wazalendo.
Ndo mana nasema in the long run, lile bwawa halitakuwa na efficiency tunayoitegemea au kuaminishwa.Upo sahihi...kwa kuongezea, maji yanayoenda Nyerere ndiyo hayo hayo yanapita na vyanzo vingine kule juu: kihansi, kidatu na mtera...chukua ramani na uangalie flow ya ile mito...they depend on each other!
This means kama kukiwa na ukame kama wa last season huko upcountry then all hydro dams zitakuwa affected at varying degrees na kwa hivyo power generation itayumba!
Kwa kweli wasomi wanatufelisha sana na ndiyo sababu Msukuma anahoji kila mara kwamba huko chuo wanasomea ujinga na wizi?
Wasomi wetu wanatuangushaga sana. Ila kubwa zaidi wanasiasa wetu.Tulete wazungu waendeshe...sisi hata maji yametushinda kusambaza hatuna uwezo wala umakini wa kusimamia nuclear power plants...elimu ya mzungu haijatusaidia zaidi ya kuzalisha wezi na wajinga kama anavyosema Msukuma kule mjengoni!
Solar kwa mtu mmoja mmoja ni rahisi na ndio ina ufanisi zaidi..., unafunga kwako unaweka kwenye battery yako ndogo unatumia kwenye matumizi yako au sehemu zenye smart meter mfano USA not sure kuhusu UK hata bila battery unazirudisha kwenye mita unapewa credit yaani kama umewapa units kumi kwahio unawadai units kumi siku jua halijawaka au umetumia umeme kidogo.....Hapo umeeleweka.
Swali langu. Hizi challenges mbona hatuzioni kwenye nchi zinazotegemea umeme wa Jua? Mbona kwa sasa Solar energy ndo inaonekana inakimbiliwa sana? Hata uzallishaji wa panels umeongezeka mara dufu Mf. China?
Umeme wa Nucler plant ni umeme wenye teknolojia ya juu sana na umakini kuliko kitu chochote kwa sababu ikitokea tatizo basi madhara yake ni makubwa.Ushauri wangu.
1. Kuna teknolojia mpya salama zaidi ya kutengeneza plant ndogo za nyuklia. Serikali ialike wataalam kutoka nchi za Ujerumani au Scandinavia wajenge hata plant moja ya namna hiyo kwenye moja ya mikoa yenye bahari/ maziwa hapa Tanzania. Tukipata megawat hata 10,000 au 20,000 sio mbaya. Uzuri madini ya uranium tunayo kinachotakiwa ni teknolojia tu.
Naomba kuwasilisha.
Nani amesema kwamba umeme wetu uwe WA maji Tu. Na zaidi ya hapo ukizungumzia ukame kama kizuizi siku zijazo, China wasinge Jenga the three gorges .Hii ni fedhea. Haiwezekani karne hii ya 21 tuna wasomi na viongozi tunaoamini wana exposure ila wanaishia kuhubiri umeme wa maji tu. Ni kielelezo kuwa tuna shida kwenye bongo zetu
Na wanatengeneza solar farms za uhakika.Hapo umeeleweka.
Swali langu. Hizi challenges mbona hatuzioni kwenye nchi zinazotegemea umeme wa Jua? Mbona kwa sasa Solar energy ndo inaonekana inakimbiliwa sana? Hata uzallishaji wa panels umeongezeka mara dufu Mf. China?
heko sana kiongozi ama hakika ada za wazazi wako katika shule na chuo kikuu hazijaenda bure kwani umezitendea haki kwa maelezo yako haya yenye madini makubwa na elimu toshelezi kwa sisi wasomaji wakoKuna watu wanaamini kabisa kuwa Bwawa la Umeme la Rufiji likianza kazi basi suala la Mgao wa umeme litakuwa historia kwenye nchi hii.
Kwa namna ninavyosoma taarifa mbalimbali za kiutafiti zinazohusu masuala ya Mazingira napenda kuwaambia hawa watu wakiwemo viongozi wetu kuwa inawezekana wakawa sahihi kwa muda fulani ila kwa muda mrefu hawatakuwa sahihi
Kwa hali ya mabadiliko ya hali ya hewa ilivyo inasemwa kuwa huko mbeleni suala la ukame litakuwa jambo la kawaida sana duniani na inawezekana hata uzalishaji wa chakula ukapungua sana.
Kwa haya ni sahihi kusema kuwa hata Bwawa la Nyerere inawezekana lisiwe efficient kwa miaka mingi ijayo kutokana na changamoto hizi.
Kwa upande mwingine kuna vyanzo ya umeme vinavyoonekana kuwa vya uhakika zaidi katika miaka mingi ijayo. Vyanzo hivyo ni pamoja na Nyuklia na Jua ambavyo kwa bahati nzuri sana vyote kwa hapa Tanzania tunavyo.
Ushauri wangu.
1. Kuna teknolojia mpya salama zaidi ya kutengeneza plant ndogo za nyuklia. Serikali ialike wataalam kutoka nchi za Ujerumani au Scandinavia wajenge hata plant moja ya namna hiyo kwenye moja ya mikoa yenye bahari/ maziwa hapa Tanzania. Tukipata megawat hata 10,000 au 20,000 sio mbaya. Uzuri madini ya uranium tunayo kinachotakiwa ni teknolojia tu.
2. Kuna mikoa/ sehemu hapa nchini ambayo Jua linawaka kwa uhakika kwa miezi si chini ya 10 au 11. Serikali iwekeze haraka uzalishaji wa Umeme Jua kwenye mikoa hii hata megawat 3000 - 5000
Inawezekana watu wakasema tuna gesi ila kiuhalisia gesi tuliyonayo ni ya matumizi ya miaka 30- 50 kama sikosei hivyo inawezekana huko mbeleni nayo ikaisha.
Naomba kuwasilisha.
Bado uko nyuma kuhusu teknolojia ya solar (UV tech)Bila hivyo huenda tukahitaji kununua Battery za kuweza kuhifadhi ma-Mega Watts ya Umeme jambo ambalo at current technology is not an easy feat...; au tuhakikishe mchana tunatumia solar pekee alafu usiku another option jambo ambalo kwa GRID kucheza na hizo hesabu is not practical...